Hivi aliyeandika hizi taarifa mwenye Wikipedia ya msanii Faustina Charles Mfinanga a.k.a Nandy, alikuwa na maana gani ?

Hivi aliyeandika hizi taarifa mwenye Wikipedia ya msanii Faustina Charles Mfinanga a.k.a Nandy, alikuwa na maana gani ?

Basi kama diamond atakuwa na mtu wake wa kumuandikia information basi yupo zero kabisa hana information kuhusu bosi wake hivi tuzo zote na nomination zote za Diamond ndio za kuziweka shallow namna ile!????....aingie basi hata wikipedia za kina Wiz khalifa,Ty dollars sign,Young thug,Roddy Ricch akaangalie information zinakuwaje maana information zimeandikwa kimaghumashi sana yaani sasa ukiingia information za wacheza soka wa Tanzania ndio zero kabisa yaani

Pamoja. Nikipataga muda nafanyagafanyaga. Nakumbuka enzi Diamond anaanza tumeshinda sana kwenye page yake. Ila shaivi level zingine hakuna ata haja ya ku edit nadhani kuna mtu analipwa kwa iyo kazi
 
Juzi nimeangalia biography ya Mo.Dewji Wikipedia mara wakaanza nambia Mzee Dewji kipindi anazaliwa kidogo anyongwe na placenta.

By the way according to Wikipedia S.S.Bakhresa ana networth ya $3.5b.And he's the richest man in Tz.
 
Juzi nimeangalia biography ya Mo.Dewji Wikipedia mara wakaanza nambia Mzee Dewji kipindi anazaliwa kidogo anyongwe na placenta.

By the way according to Wikipedia S.S.Bakhresa ana networth ya $3.5b.And he's the richest man in Tz.
[emoji3][emoji3][emoji3] mkuu hiyo kunyongwa na cord ni taarifa za kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja. Nikipataga muda nafanyagafanyaga. Nakumbuka enzi Diamond anaanza tumeshinda sana kwenye page yake. Ila shaivi level zingine hakuna ata haja ya ku edit nadhani kuna mtu analipwa kwa iyo kazi
We jamaa mtu mwema sana. Natamani wahusika wenyewe wangeona uzalendo wako. Stay blessed mkuu
 
Back
Top Bottom