Hivi ambao huwa wanasema Card B yuko vizuri kuliko Nick Minaj huwa mnatumia vigezo gani?

Tuwekee Nyimbo Za Cardi B na Nyimbo Za Nicki Minaj Tusikilize Then Tutoe Conclusion na Sio Kutuletea Maneno Matupu Tu
Ndio maana hata kwenye uzi nimesema wale ambao wanawafuatilia hao kina dada!
Kama huzijui Mkuu endelea kuvuna Mkuu huko mikoani ukija jijini utazifahamu tu nyimbo zao
 
Kuna watu huwa hawapend kuona mtu hana mpinzan hvo iktokea mtu anayefanana na huyo aliejuu lazma wamshabikie Wa chini ili kumshusha alie juu
Kweli kabisa mkuu
 
Mi naonaga kwa namna fulani Cardi B anamuiga Nick Minaj (flow), kwa maana nyingine kawa inspired nae. Sema Cardi B japo kwa mtazamo wangu sio mkali kama Nicki ila nyota imemng'alia sana sasa, na unavyojua tena kuna muda ukifika watu wakiamua kukuchoka huwezi zuia hata kama bado una uwezo mkubwa, naona kama Nikki ameanza kuchokwa so Cardi ni kama mbadala wake
 
hii ni kweli
 
Industry ya muziki huwa iko hivyo, kila mfalme anatafutiwa mpinzani.

Na ni worldwide hii culture.

Kunakuwa na makampuni tofauti ya promotion, na ukishasign na kampuni fulani inakuwa exclusive, so makampuni shindani yanakuja na mtu wao kutaka kuweka image shindanishi.

Recently, baada ya bifu la Birdman na Lil Wayne, kiasi fulani Nicki Minaji ushawishi umepungua, +ile kuachana na Meek, means support ya Maybach pia inaondoka, sameway kwa DJ Khaled, maana ni mshkaji sana na Rick Ross.

Hivyo kumwibua Cardi B imekuwa easy sana.

Kwa wanaokumbuka, before Cardi B ngoma yake ya Bodak Yellow haijawa released, Remy Ma alikuwa na Shether (kumdis Nicki), ilipata publicity kubwa sana ila haikumshusha Nicki, nadhani image issues zinaweza kuwa ni sababu.

So kuja Cardi B na Bodak Yellow, na ukiangalia Cardi B kajaribu kujitengeneza afanane na Nicki ilikuwa rahisi sana kumpambanisha na Nicki.

Ila kadri siku zinavyoenda, Nicki anarudi kwenye chati.

Kulikuwa na tuhuma kwamba kambi ya Cardi B inawahonga DJs wasipige nyimbo za Nicki, nakumbuka kuna interview Nicki alifanya kwa DJ Ebro, walitaja baadhi ya Γ§ases za namna hiyo.

I wish promo aliyopewa Cardi B angeipata Young Ma, tungeinjoi sana muziki.
 
Aiseee futuru kwa mpemba ntalpa
Uyo dada hawez mfkia nick minaj kabsaa
Kwanza anavyoweka domo lake afu pia sifa sema tu huwez kubak kwenye trend forever ila card aint nothing compared to nick minaj
 
Cardi B nimemkubali kwenye taki taki na motor sport ila Nicki Minaj hana mpinzani aisee namkubali kuanzia enzi zile za moment for life na super bass na hadi kesho nitamkubali walikuja kina Iggy Azalea na M.I.A walimkuta na watamuacha
 
Cardi B nimemkubali kwenye taki taki na motor sport ila Nicki Minaj hana mpinzani aisee namkubali kuanzia enzi zile za moment for life na super bass na hadi kesho nitamkubali walikuja kina Iggy Azalea na M.I.A walimkuta na watamuacha
Moment for life πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯huwa siichoki
 
Aiseee futuru kwa mpemba ntalpa
Uyo dada hawez mfkia nick minaj kabsaa
Kwanza anavyoweka domo lake afu pia sifa sema tu huwez kubak kwenye trend forever ila card aint nothing compared to nick minaj
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…