Hivi ambao huwa wanasema Card B yuko vizuri kuliko Nick Minaj huwa mnatumia vigezo gani?

Hivi ambao huwa wanasema Card B yuko vizuri kuliko Nick Minaj huwa mnatumia vigezo gani?

Kwangu mimi kiukweli bwana nick heshima yake ipo na,itakuwepo ila,kwa flava za hapa na pale namchukua card kwa sasa japo nick bado ni malka wao na kiongozi.

Ukijaribu kutamka wakali basi tuna mchukua nick.

Ni sawa na young thug ata tengeneza truck kali lakini sio hit.
 
Mi mwenyewe mwanzoni nilikuwa kama wewe,nilikuwa naamini hivyo hivyo ila kwa sasa Cardi yupo njema sana kwenye sanaa kumshinda minaj,nimeshindwa kuiweka tu ile colabo yake na bruno mars,'Please me'

Colabo hatari sana na huyu demu anaweza kwq kweli,fuatilia ngoma zake zote alizotoa tokea,alivyoanza kung'ara
Angalia na ngoma ya nick na tyga harafu njoo na mrejeshooo ....Niki ni motooooo
 
Angalia na ngoma ya nick na tyga harafu njoo na mrejeshooo ....Niki ni motooooo

Naijua ni kali,ila kwa sisi wamarekani cardi ni mkali zaidi na ndio maana amechukua mituzo ambayo minaj hakuwahi kuipata na ndio msingi wa wivu wake kwa cardi,huyu cardi mfuatilie vizuri,sio wa sayari hii,yule minaj ni miguvu miguvu tu na ubabe,hana mpya
 
Naijua ni kali,ila kwa sisi wamarekani cardi ni mkali zaidi na ndio maana amechukua mituzo ambayo minaj hakuwahi kuipata na ndio msingi wa wivu wake kwa cardi,huyu cardi mfuatilie vizuri,sio wa sayari hii,yule minaj ni miguvu miguvu tu na ubabe,hana mpya
Lakini ukweli Nick anajua sana huyo cardi b itamuchukua miaka kibao kufika level ya nick .Nick ka wa inspire watu kibao so Nick kwangu naona anajua sana
 
Lakini ukweli Nick anajua sana huyo cardi b itamuchukua miaka kibao kufika level ya nick .Nick ka wa inspire watu kibao so Nick kwangu naona anajua sana

Labda kakuinspire wewe mkuu,minaj hakupata challenge tu kipindi mnamuona ni mkali, ni wa kawaida sana,hamkuti hata Azalea
 
Labda kakuinspire wewe mkuu,minaj hakupata challenge tu kipindi mnamuona ni mkali, ni wa kawaida sana,hamkuti hata Azalea
Iggy azalea ana punch gan za kumzidi Nick ???? Sema mkuu najua unaforce tu katoto cardi b aonekane mkali kumbe si chochote wala lolote kwa Nick
 
Iggy azalea ana punch gan za kumzidi Nick ???? Sema mkuu najua unaforce tu katoto cardi b aonekane mkali kumbe si chochote wala lolote kwa Nick

Duh,kati mwenye tuzo nyingi cardi na anayelilia tuzo huyo minaj nani anayeforce hapa kati ya mimi na wewe??
 
Duh,kati mwenye tuzo nyingi cardi na anayelilia tuzo huyo minaj nani anayeforce hapa kati ya mimi na wewe??
Tuzo sio ishu sana mwangalie mtu kama chriss brown hana tuzo nyingi ila ni mkali mara mia ya wanao pewa tuzo...fuatilia hizo tuzo kuna watu walishazila kwa sababu zinaendeshwa kimaghumashi
 
Tuzo sio ishu sana mwangalie mtu kama chriss brown hana tuzo nyingi ila ni mkali mara mia ya wanao pewa tuzo...fuatilia hizo tuzo kuna watu walishazila kwa sababu zinaendeshwa kimaghumashi

Usimfaninishe breezy na vitu vya kijinga kama minaji,huyo ni most talented r&b singer kwa sasa,minaj yeye ni nani??
 
Nick my hitta [emoji41]
I ride for my bitches
I'm so fuckin' rich I cop rides for my bitches
Dollar menu fries apple pies other bitches
I drop a freestyle and get a rise outta bitches
Bitches, my bitches
I need a nigga with some different strokes, Todd Bridges
Shout out to my main bitches and my side bitches.


Card hawezi chezea huu moto wewe[emoji1]...
Daamn, i like this girl. She knows how to do it.
 
Nick minaji ameshindikana kwa marapa wa kike walianza kumkimpea na Iggy Azalea sasa hivi yuko wapi sasa wamehamia kwa Card B,,,wazungu nao wapuuzi tu
 
Industry ya muziki huwa iko hivyo, kila mfalme anatafutiwa mpinzani.

Na ni worldwide hii culture.

Kunakuwa na makampuni tofauti ya promotion, na ukishasign na kampuni fulani inakuwa exclusive, so makampuni shindani yanakuja na mtu wao kutaka kuweka image shindanishi.

Recently, baada ya bifu la Birdman na Lil Wayne, kiasi fulani Nicki Minaji ushawishi umepungua, +ile kuachana na Meek, means support ya Maybach pia inaondoka, sameway kwa DJ Khaled, maana ni mshkaji sana na Rick Ross.

Hivyo kumwibua Cardi B imekuwa easy sana.

Kwa wanaokumbuka, before Cardi B ngoma yake ya Bodak Yellow haijawa released, Remy Ma alikuwa na Shether (kumdis Nicki), ilipata publicity kubwa sana ila haikumshusha Nicki, nadhani image issues zinaweza kuwa ni sababu.

So kuja Cardi B na Bodak Yellow, na ukiangalia Cardi B kajaribu kujitengeneza afanane na Nicki ilikuwa rahisi sana kumpambanisha na Nicki.

Ila kadri siku zinavyoenda, Nicki anarudi kwenye chati.

Kulikuwa na tuhuma kwamba kambi ya Cardi B inawahonga DJs wasipige nyimbo za Nicki, nakumbuka kuna interview Nicki alifanya kwa DJ Ebro, walitaja baadhi ya çases za namna hiyo.

I wish promo aliyopewa Cardi B angeipata Young Ma, tungeinjoi sana muziki.
Aisee najiulizaga young ma anafeli wapi kupata respect anayostaili.....cardi b kwa young ma kwa rap bado sana labda 2 kwa hits na fame
 
Aisee najiulizaga young ma anafeli wapi kupata respect anayostaili.....cardi b kwa young ma kwa rap bado sana labda 2 kwa hits na fame

Young Ma ni lesb, business iko dominated na wanaume.

Unaona Nicki ilivyolazimu pamoja na kuwa poa mashairi lakini lazima ashikwe mkono na wanaume.

Likewise kwa Cardi B.
 
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki nawashangaa tu wanaomlinganisha na Nick!

Kwa mtazamo wangu Nick yuko njema zaid kuliko card b na hata ukisema umuunganishe card b na wale shemeji zake(Migos crew) bado naona nick yupo juu!

Wale ambao mnafutilia mziki wa hawa wadada wawili mnasemaje?
Usiforce mfanane. Kila mtu anatest yake.
 
Jifunze kusoma uelewe! Nani amesema nafosi tufanane?
Kuna tofauti kati kuelewa na kujua kusoma. On reference to hi mistari michache tu.
'ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki nawashangaa tu wanaomlinganisha na Nick!

Kwa mtazamo wangu Nick yuko njema zaid '
They are your views not anybody's. Sasa ninavokwambia usiforce mfanane unapinga.
Kajifunze kujitambua na wewe.
 
Back
Top Bottom