Townkid amedrop ana point around 1600 kuna watu wana 1700+ kuna poweram, runi9poacher, kingmwandoSasa achana na mkulima,Kuna chuma kimoja hivi kilikuwa na point 1800 kama sikosei ni Kati ya townkid/townboy mpaka hakuwa na njano yeye akawa na nyekundu.Hao jamaa ni shida sasa.
Kama ni townkid kadrop basi huyo jamaa ni townboy,Ni mara chache sana huwa anaonekana.Ni fire huyo mwamba.Townkid amedrop ana point around 1600 kuna watu wana 1700+ kuna poweram, runi9poacher, kingmwando
Hilo siwezi thibitisha,maana hata mm vipoint vyangu vya 1300+ Kuna watu hata wakiwa na 1500+ au 1450+ lazima niwadunde tu.Hee kwahiyo townboy na mkulima wakicheza, mkulima anapigwa Mc PIPI
Hakuna id ya townboy mkuuKama ni townkid kadrop basi huyo jamaa ni townboy,Ni mara chache sana huwa anaonekana.Ni fire huyo mwamba.
Hivi zile rangi zina maana gani?..Sasa achana na mkulima,Kuna chuma kimoja hivi kilikuwa na point 1800 kama sikosei ni Kati ya townkid/townboy mpaka hakuwa na njano yeye akawa na nyekundu.Hao jamaa ni shida sasa.
Kiwango baba,wale wenye blue bahari ni Matura,Ila wa kijani ni wa wastani, Ila wapo wenye njano za kudumu hao maji marefu,sasa ukiona nyekundu hao ni hatari mzee.Hivi zile rangi zina maana gani?..
#MaendeleoHayanaChama
Sijaelewa ilo game lao. Nimeregister, Ila naona Kuna ugumu kuplayKiwango baba,wale wenye blue bahari ni Matura,Ila wa kijani ni wa wastani, Ila wapo wenye njano za kudumu hao maji marefu,sasa ukiona nyekundu hao ni hatari mzee.