Hivi anayepanga mambo haya kwenye timu zetu ni nani na huwa analenga nini?

Hivi anayepanga mambo haya kwenye timu zetu ni nani na huwa analenga nini?

Nawale wanaovaa za upinde/rainbow utawaweka kandi gani? Sensa ni swala la kitaifa sia zako pale huko.
 
Sensa ni siasa kweli?? Hii inatumika kuhamasisha tulio zima la sensa kitaifa na hivi vilabu vina watu wengi nyuma yake.
 
Simba Na Yanga ni matokeo ya CCm na ata uendeshwaji wa hivi vilabu viwili ni km CCm inavyo ongoza nchi miaka 60 ya uhuru mattzo ni yale yale ni sawa na Simba Yanga miaka zaid ya 70 ya mpira ila timu hazina Viwanja,hazina pesa hazina wadhamini wa kudumu hazina uwelekeo na bado zinatumika kisiasa ad leo
 
Hivi hio Ni Timi gani?
Hiyo ni timu ya Taifa ya India na iliyoweka kambi katika mji wa Bombay.

Ndiyo timu iliyochukua ubingwa wa India kwa miaka 4 mfululizo katika mchezo wao maarufu wa Kabadi.
 
Picha hii inaweza kukuonesha hili ninalouliza.

Ni nchi gani nyingine duniani ambayo Timu zake za soka zinafanya hivi?

View attachment 2317408
Nina uhakika wa 100% ingewekwa picha ya mwenyekiti Mbowe ama makamu mwenyekiti Lisu Erythrocyte post yako isingekuwa hii ila kwasababu ni picha ya mtu kutoka upande usioupenda ndo maana umeandika hivi.
Mkuu Erythrocyte siasa zitakulemeza akili na siyo kila kitu tukichambue kisiasa aliyepo hapo ni president wa nchi anayewaongaza wananchi (siyo yanga) wote wenye vyama na wasio na vyama na simba ni sehemu ya wananchi hao.
 
Sensa sio siasa ni jukumu letu kitaifa kutangaza na kukumbushana kuhusu kushiriki zoezi hilo.
 
Amesimama km Rais, sio m/miti wa chama.
Ni kanuni kuvaa t-shirt yenye picha ya Rais? Ikifika uchaguzi Mkuu timu zitavaa kuhamasisha watu wakapige Kura? Na Sensa hii ina nini cha ajabu Hadi Kila Mtu aisemee? Kama lengo ni idadi ya watu, kuna mwenyekiti wa mtaa hajui idadi ya watu wake? Yaani maswali ya DK 5 yatatoa exactly idadi ya Watanzania?
 
Nina uhakika wa 100% ingewekwa picha ya mwenyekiti Mbowe ama makamu mwenyekiti Lisu Erythrocyte post yako isingekuwa hii ila kwasababu ni picha ya mtu kutoka upande usioupenda ndo maana umeandika hivi.
Mkuu Erythrocyte siasa zitakulemeza akili na siyo kila kitu tukichambue kisiasa aliyepo hapo ni president wa nchi anayewaongaza wananchi (siyo yanga) wote wenye vyama na wasio na vyama na simba ni sehemu ya wananchi hao.
Unachotetea ni nini?
 
Back
Top Bottom