Acha majungu na wivu wa mafanikio ya watu kwenye kazi zao,kila mtu na mambo yake...tafuta vya kwako
Ni kweli ni ngumu kuingilia mawazo ya watu lakini waTanzania mnaongoza kutwa kucha kuandika visivyo saidia kwenye maisha,mmekalia unafiki unafiki tu ilihali we mwenyewe na jamii yako nyingi hamjafa na Corona na mna Malaria miilini mwenu
Jinga kabisa