mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Marry j.Bridge hapigi rbnEeh bana Celine Dione hajawahi kuwa mwanamziki wa Rnb hata siku moja...fanya homework kwenye aina za Muziki.
Rnb malkia wake ni Marry J Bridge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marry j.Bridge hapigi rbnEeh bana Celine Dione hajawahi kuwa mwanamziki wa Rnb hata siku moja...fanya homework kwenye aina za Muziki.
Rnb malkia wake ni Marry J Bridge
Marry J ni queen wa HipHop/soul and Queen of Rnb....the most successful female Rnb singer.Marry J Bridge ni soul$HipHop Queen
Unaifahamu Family Affairs?Marry j.Bridge hapigi rbn
Sasa unazungumzia kundi ? Au yeye marry j bridge?Unaifahamu Family Affairs?
Kwa hiyo naye arudi kufanya homework si ndiyo?Marry J Bridge ni soul$HipHop Queen
kunywa pepsi nakuja kulipaNi mzuri huyo lakini haoni ndani kwa Marehemu Whitney Houston.
Pop sounds & Softi pop soundsHivi celine dion alikuwa anaimba RnB? Hebu wataalamu mtusaidie kuchanganua ain za muziki.
Ndiyo maana nikastuka kidogo, ila nadhani rbn na pop zinachananya watu. Mimi hadi leo nikiambiwa bad ya Michael Jackson ni rnb huwa sielewi kabisa. Binafsi huwa naona ni pop yenye element za funk...😀😀Pop sounds & Softi pop sounds
Wako malegend wakali kuliko yeye kama diana rose na linda ronstadt...celina sauti inambeba sanaBinafsi namkubali sana huyu mama.
Katika career yake ya mziki binafsi sijawahi sikia skendo yoyote serious inayomhusu.pili nyimbo zake hajiexpose sana mwili wake ili auze album zake.. ni nyimbo unaweza angalia hata na familia yako.
Nyimbo zake zinatuliza nafsi, zinaponyesha maumivu ya moyo kwa waliotendwa..pia zina inspire never to give up...
Binafsi ngoma zake zote nazikubali.
Huyo ndio Celine dion mwenye asili ya canada
Muweke na patty label,diana rose,linda ronstadt,tammy tarrelWhitney alikuwa level nyingine aisee,aretha franklinWhitney Houston & Celine Dion - Greatest Love Of All (Duet) - YouTube
Amekula vya kutosha 76yrz ni nyingi,sisi sidhani kama tutafika huko na hii milupo yetuGone too soon.
Kuna magwiji ukisikiliza nyimbo zao unamuona selina sawa na nandy.aretha franklin,diana rose,tammy tarrel,patty label,linda ronstadtKwa kweli huyu mwanamama nimeanza kumsikiliza tangu nikiwa kigoli mpaka sasa nazeeka nyimbo zake hazichuji
Mziki ulikua motown records,yani magwiji wote walikua humoNaweza kusema kwenye mziki kuna kizazi kilikuwa cha mziki mtamu sana, hii ni kwa aina mbalimbali za mziki.
Kwa sasa ujanja ujanja mwingi eti mziki biashara, huko mbeleni naogopa kusema mimi!