Hivi atakuja tokea mwanamuziki zama hizi wa RnB kama Celine Dion

Hivi atakuja tokea mwanamuziki zama hizi wa RnB kama Celine Dion

Kundi kivipi mkuu? Family Affairs ni Rnb hit song ya Mary J brige produced by dre.
Huyo bibie anafanya Hiphop and soul pia Rnb...pitapita google mkuu.
 
Wengi wanasema Whitney Houston sjui Kwa sababu ni mwamerica , ila nyimbo za Celine Dion ni impressive Sana na romantic haswa , kuna zile Pini New day has come , My heart will Go on , love doesn't ask why .... Huyu mama ni chuma bhana
 
Naweza kusema kwenye mziki kuna kizazi kilikuwa cha mziki mtamu sana, hii ni kwa aina mbalimbali za mziki.

Kwa sasa ujanja ujanja mwingi eti mziki biashara, huko mbeleni naogopa kusema mimi!
 
Binafsi namkubali sana huyu mama.

Katika career yake ya mziki binafsi sijawahi sikia skendo yoyote serious inayomhusu.pili nyimbo zake hajiexpose sana mwili wake ili auze album zake.. ni nyimbo unaweza angalia hata na familia yako.

Nyimbo zake zinatuliza nafsi, zinaponyesha maumivu ya moyo kwa waliotendwa..pia zina inspire never to give up...
Binafsi ngoma zake zote nazikubali.

Huyo ndio Celine dion mwenye asili ya canada
Wako malegend wakali kuliko yeye kama diana rose na linda ronstadt...celina sauti inambeba sana
 
Kwa kweli huyu mwanamama nimeanza kumsikiliza tangu nikiwa kigoli mpaka sasa nazeeka nyimbo zake hazichuji
Kuna magwiji ukisikiliza nyimbo zao unamuona selina sawa na nandy.aretha franklin,diana rose,tammy tarrel,patty label,linda ronstadt
 
Naweza kusema kwenye mziki kuna kizazi kilikuwa cha mziki mtamu sana, hii ni kwa aina mbalimbali za mziki.

Kwa sasa ujanja ujanja mwingi eti mziki biashara, huko mbeleni naogopa kusema mimi!
Mziki ulikua motown records,yani magwiji wote walikua humo
 
Back
Top Bottom