kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Kuna hii kitu unakuta nchi tajiri kama marekani, japan ufaransa, au china zinaitisha mkutano na viongozi wa afrika. Bila shaka ni kujadili agenda za maslahi kuhusu nchi hizo tajiri.
Hivi karibuni tumeona european union na wao wakiitisha mkutano na viongozi wa afrika. Sasa utaona viongozi wote hadi wagonjwa kama ali bongo wa gabon wakienda.
Tatizo ninaloliona mimi ni kwamba viongozi hawa wanaenda tu kuambiwa mpango wa bajeti ya nchi hizo tajiri kuhusu Afrika. Wanapanga kupata hiki kutoka africa kwa hivyo vikwazo vinaweza kua nini kwenye miundombinu na kathalika.
Mnaitwa kukopeshwa au kupews grant kujenga au kuelimisha watu wenu ili kufanikisha mipango yao. And then viongozi wetu wakirudi toka huko kula bata wanatuambia 'kuna vijisenti nimepata'
Viongozi wachache waliyowahi kutokea afrika wakidai kufanya yale kwa lengo la maendeleo ya nchi na watu wao wamekua wanakabiliwa na upinzani na kuitwa majina kama ni dikteta au mkiukaji wa haki za kibinadamu.
Yaani kitu wanafanya kumbe ni kuweka kipaumbele kwenye miradi ya kukomboa mchi zao kutoka utegemezi na kuwaletea wananchi wao maendeleo ya kweli.
Hivi karibuni tumeona european union na wao wakiitisha mkutano na viongozi wa afrika. Sasa utaona viongozi wote hadi wagonjwa kama ali bongo wa gabon wakienda.
Tatizo ninaloliona mimi ni kwamba viongozi hawa wanaenda tu kuambiwa mpango wa bajeti ya nchi hizo tajiri kuhusu Afrika. Wanapanga kupata hiki kutoka africa kwa hivyo vikwazo vinaweza kua nini kwenye miundombinu na kathalika.
Mnaitwa kukopeshwa au kupews grant kujenga au kuelimisha watu wenu ili kufanikisha mipango yao. And then viongozi wetu wakirudi toka huko kula bata wanatuambia 'kuna vijisenti nimepata'
Viongozi wachache waliyowahi kutokea afrika wakidai kufanya yale kwa lengo la maendeleo ya nchi na watu wao wamekua wanakabiliwa na upinzani na kuitwa majina kama ni dikteta au mkiukaji wa haki za kibinadamu.
Yaani kitu wanafanya kumbe ni kuweka kipaumbele kwenye miradi ya kukomboa mchi zao kutoka utegemezi na kuwaletea wananchi wao maendeleo ya kweli.