Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wewe umeanza kufuatilia Mpira lini? hiyo namba Sure boy au Mkude wanatosha kabisa, tena for my opinion kocha ampe nafasi ya kucheza Mkude sasa hivi apate match fitness ili mechi na Mamelodi hiyo namba 6 aanze Mkude ana experience kubwa ya mechi kubwa Kwa muda mrefuHawezi, ila nadhani Pacome anaweza kuicheza hio namba kwa usahihi zaidi. Sureboy atatuchelewesha, ni mzito sana.
Sure boy mbona alikiwasha vizuri tu kwenye game ya Club Africain! Mpira utapigwa tu! Ila Aucho atakuwapo! Next week anaanza mazoezi na timu! Ulikuwa upasuaji mdogo!Mh sure boy au Mauya kwa wale jamaa ni mbingu na ardhi.
Nashangaa mnaopagawa ni mashabiki wa Simba utafikri nyie ndo mnacheza na Mamelodi Sundowns!Hata mimi nashangaa wameanza kupagawa mapema sana...
Mkude mvivu,hakabi,kazi kubwa anayoweza ni kuhamisha upande tuWewe umeanza kufuatilia Mpira lini? hiyo namba Sure boy au Mkude wanatosha kabisa, tena for my opinion kocha ampe nafasi ya kucheza Mkude sasa hivi apate match fitness ili mechi na Mamelodi hiyo namba 6 aanze Mkude ana experience kubwa ya mechi kubwa Kwa muda mrefu
Mamelod siyo africain babuSure boy mbona alikiwasha vizuri tu kwenye game ya Club Africain! Mpira utapigwa tu! Ila Aucho atakuwapo! Next week anaanza mazoezi na timu! Ulikuwa upasuaji mdogo!
Sasa kombe mbona wanachukuwa Al Ahaly?Mamelod siyo africain babu
ata fainali na USM Algier ali kiwasha piaAcha uoga sure boy mnamchukulia powa sana
Yeye ndiye aliwavuruga club africain ni yeye ndiyo anafanya mambo yanakuwa sawa Aucho asipokuwepo kwahiyo usimjudge Bali mpe muda acheze tu Aucho kuumia kwake muache apone