Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Wajinga sana afu washamba, dunia ya sasa bila promision hupati wateja. Nishavunja line YaoHilo limesababisha niirudie laini yangu ya tigo.
Yaani halotel hata kama umekwama 5k hawakopeshi.
Ila kama ni inshu za vocha kopa kwa kubonyeza *149*63#
Mwalimu ndio kwanza zimebaki wiki mbili kabla ya mshahara. Maji utaita MMAHuu mtandao wa kipuuzi sana hakuna huduma ya kukopa pesa kama ilivyo tigo nivushe au bustisha? Mbona mpesa, tigopesa na wengine wanakopesha pesa
WanakopeshaMbona airtel hawakopeshi
Huu mtandao wa kipuuzi sana hakuna huduma ya kukopa pesa kama ilivyo tigo nivushe au bustisha? Mbona mpesa, tigopesa na wengine wanakopesha pesa
sijawahi kuona.Wanakopesha
Sasa si uwalipe pesa yao ili ukope tenaWanakopesha
Hata mimi naona nihame tuHao skuiz ni kuhama tu mtandao wao ni mmbovu sana