je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Inanishangaza kumpa kumtafuta kocha mbali huko ambae hata CV yake haijulikani wakati hapa hapa ndani Kuna Makochaambao wapo na wanaweza kupanga koni vizuri.
Sote tunajua mpira wa kibongo nguvu kubwa inatumika nje ya uwanja ili timu kupata ushindi.
Na hao makocha wazawa wanajua nje ndani ligi ilivyo na njia zake.
Na pia kuna makocha wazawa wana mbinu nzuri tu na timu yao inaweza kupigania nafasi ya tatu bila shida mana ubingwa ni majaaliwa. Mgunda anawafaa kuwavusha hapo
Mbinu za huyo dabo hata Mgunda anazo zaidi ya hizo ni kwa kuwa tu Mgunda anatoka Simba labda anaweza kuwa na mahaba ya siri na Simba pamoja na Coastal Union.
Ila kwa nlivyoona Mgunga ni zaidi ya dabo wa Azam na huo ndio ukweli ndugu zangu.
Hizo Dola mnazompa Dabo ni bora mkampa Mgunda ili mzunguko wa fedha ukaishia ndani kuliko kumpa dabo na kupeleka kwao huko Magharibi.
Kingine Azam mnasajili mapro ambao hata hapa Tanzania wapo wa kutosha ni kiasi tu cha kuwaamini na kuwapa nafasi.
Sote tunajua mpira wa kibongo nguvu kubwa inatumika nje ya uwanja ili timu kupata ushindi.
Na hao makocha wazawa wanajua nje ndani ligi ilivyo na njia zake.
Na pia kuna makocha wazawa wana mbinu nzuri tu na timu yao inaweza kupigania nafasi ya tatu bila shida mana ubingwa ni majaaliwa. Mgunda anawafaa kuwavusha hapo
Mbinu za huyo dabo hata Mgunda anazo zaidi ya hizo ni kwa kuwa tu Mgunda anatoka Simba labda anaweza kuwa na mahaba ya siri na Simba pamoja na Coastal Union.
Ila kwa nlivyoona Mgunga ni zaidi ya dabo wa Azam na huo ndio ukweli ndugu zangu.
Hizo Dola mnazompa Dabo ni bora mkampa Mgunda ili mzunguko wa fedha ukaishia ndani kuliko kumpa dabo na kupeleka kwao huko Magharibi.
Kingine Azam mnasajili mapro ambao hata hapa Tanzania wapo wa kutosha ni kiasi tu cha kuwaamini na kuwapa nafasi.