Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
jibu murua kabisa,sio kwamba hiyo ndio ilikuwa salama yake?
[emoji16][emoji16][emoji16]Hili jina lako ndio tatizo lilipoanzia huwezi kuelewa. Kavae masulupwete yako uendelee na masulupwete yako mambo ya watu utaendelea kuyaona ni masulupwete tu
Jumatatu njema bwana masulupwete
Njoo Tandahimba, Mahuta na Newala, watu wanakaa na pesa ndani tena miizigo kweli, hawaamini kwenye taasisi,Wakuu kuna jirani hapa anadai wezi wamevunja kwake wameingia ndani na kuondoka na pesa.
Mm sishangazwi na huo uvunjaji wala wizi wenyewe kinachonishangaza ni ishu ya wezi kuzikuta hela ndani unapolala. Hivi wakati huu wa mabenki, sakosi, vikoba na ma-mpesa kama yote bado kuna watu wanakaa na mabunda ya hela ndani?
Hata ukiwakabidhi still awatoamini ndo pekee ulizonazo... sio kwamba hiyo ndio ilikuwa salama yake? Ukiwa na hela hakikisha unawawekea kiasi fulani ndani ili wakija uwakabidhi ubaki salama. Kwa sisi makapuku hii haituhusu.
Bank ukiweka mzigo wakati wa kuchukua hela ni yako ila viziwizi ni vingi na maswali ni mengi, wewe ni bwana mdogo huwezi kuelewaWakuu kuna jirani hapa anadai wezi wamevunja kwake wameingia ndani na kuondoka na pesa.
Mimi sishangazwi na huo uvunjaji wala wizi wenyewe kinachonishangaza ni ishu ya wezi kuzikuta hela ndani unapolala. Hivi wakati huu wa mabenki, sakosi, vikoba na ma-mpesa kama yote bado kuna watu wanakaa na mabunda ya hela ndani?
Ni kawaida hujui miamala ina makatoWakuu kuna jirani hapa anadai wezi wamevunja kwake wameingia ndani na kuondoka na pesa.
Mimi sishangazwi na huo uvunjaji wala wizi wenyewe kinachonishangaza ni ishu ya wezi kuzikuta hela ndani unapolala. Hivi wakati huu wa mabenki, sakosi, vikoba na ma-mpesa kama yote bado kuna watu wanakaa na mabunda ya hela ndani?