Hivi bado kuna watu wanatongoza wanawake?

Kwaiyo mkuu kwenye hiyo laki moja papuchi unahakikisha unaipata kwa wiki mara ngapi?
 
Mimi nina miaka 30+ Ila katika maisha yangu nimetongoza kiukweli kabisa kutoka moyoni mara 3 tu..zingine zote navuta tu yaani ni kuita basi😀
 
Umeweka bajet kabisa mkuu upo serious
 
Kijana mwenzetu baada ya kumwagilia Moyo maji ya kutosha
 

Wew si ndio uliokuwa unatafuta mchumba humu jf , sasa huo ujasiri wa kutongoza umeupata wap??
 
Wew si ndio uliokuwa unatafuta mchumba humu jf , sasa huo ujasiri wa kutongoza umeupata wap??

Kigezo nilichosema umekisahau kuweka. Ama unafikiri wenye hicho kigezo rahisi kukutana nao. Maliza sentesi yako huyo mchumba niliyemtafuta aweje.
 
Kwaiyo mkuu kwenye hiyo laki moja papuchi unahakikisha unaipata kwa wiki mara ngapi?

Kwa wiki akija mara 1 na kulala siku 1 ama 2 inanitosha.. anaweza kuja ijumaa akaondoka jumapili. Then wiki inayofata hivyo hivyo
 
Mystery lady she's in my dream 😁
Ushindwe hawezi kaa hapo kabisaa😂
 
Hahaha
 
Unayemfukuzia hadi kumpigia magoti, ana account Tinder tangu kitambo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…