Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Bado na hoja kuhusu Hamza yule yule waliosema ni gaidi.
Hoja sio hiyo bali najiuliza hivi tupo nyuma kiasi hicho mtu mmoja kusumbua kikosi kizima cha polisi kilichopelekwa pale? Hatuna technology kiasi hicho?
Kwanini walihangaika kumlamba shaba badala ya kumchoma sindano ya usingizi au ya kumaliza nguvu palepale, kwanini hawakutumia wadunguaji waka mlamba shaba sehemu muhimu bila kufa? Kuna majengo marefu pale ya kukaa position nzuri tu.
Vipi kuhusu counter attack, net au vinginevyo. Bado najiuliza tu🤔🤔 kama mtu mmoja tu alisumbua hivyo vipi kama.......
Hoja sio hiyo bali najiuliza hivi tupo nyuma kiasi hicho mtu mmoja kusumbua kikosi kizima cha polisi kilichopelekwa pale? Hatuna technology kiasi hicho?
Kwanini walihangaika kumlamba shaba badala ya kumchoma sindano ya usingizi au ya kumaliza nguvu palepale, kwanini hawakutumia wadunguaji waka mlamba shaba sehemu muhimu bila kufa? Kuna majengo marefu pale ya kukaa position nzuri tu.
Vipi kuhusu counter attack, net au vinginevyo. Bado najiuliza tu🤔🤔 kama mtu mmoja tu alisumbua hivyo vipi kama.......