Hivi Bangladesh walilogwa miaka 20 unaongoza umekuwa Afrika?

Hivi Bangladesh walilogwa miaka 20 unaongoza umekuwa Afrika?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kenyaaaaa

Gen z

Hukoo bangladesh wanafunzi wa chuoo wamemtoa resii waziri mkuu aliekuwa madaraka 20 yrs kakimbilia. India

Nawaza hawa jamaa walikogwa ama? Miaka yote iio wako kimya

Aisee kumbe hata Africa wale jamaa zetu wallooapa kufia madarakan na wengine wanapanga kuwapa watoto wao wakitoka wanaweza kuondoka mapema kabisa.

Unaambiwa jeshi limechukua madaraka limevunja baraza la mawazori

Haotoshi wanataka kukagua wizi wote uliotokea

Haitoshi hapa nkacheka kesho wanakutaba na viongozi wa wanafunzi ikulu kuomba ushauri wanamwamini nani awepoo kwenye uongozi mpya

Naona mdahuu wamemtangaza jamaa mshindi wa Nobel awepo kwenye uongozi mpyaaaa

Wanafunzi
..anawaona
 
Africa ndio takataka ya mwisho kabisa.wahindi wanaolala nje kule kwao wanakuja mikono mitupu Africa wanatengeneza pesa kisha wanainject mitaji yao U.K na Canada.

wahindi sio wakufanyisha wabongo kazi za punda kwenye viwanda vyao kutwa nzima alafu wanawalipa buku tatu.
 
Kenyaaaaa


Gen z

Hukoo bangladesh wanafunzi wa chuoo wamemtoa resii waziri mkuu aliekuwa madaraka 20 yrs kakimbilia. India

Nawaza hawa jamaa walikogwa ama??miaka yote iio wako kimya

Aisee.kumbe hata Africa wale hamaa zetu wallooapa kufia madarakan na wengine wanapanga kuwapa watoto wao wakitoka wanaweza kuondoka mapema kabisa......


Unaambiwaaaa jeshi limechukua madaraka limevunja baraza la mawazori

Haotoshi wanataka kukagua wizi wote uliotokea

Haitoshi hapa nkacheka kesho wanakutaba na viongozi wa wanafunzi ikulu kuomba ushauri wanamwamini nani awepoo kwenye uongozi mpya

Naona mdahuu wamemtangaza jamaa mshindi wa Nobel awepo kwenye uongozi mpyaaaa

Wanafunzi
..anawaona
GenZ kenya 8/8/2024 #occupy corrupt leaders
 
Kenyaaaaa

Gen z

Hukoo bangladesh wanafunzi wa chuoo wamemtoa resii waziri mkuu aliekuwa madaraka 20 yrs kakimbilia. India

Nawaza hawa jamaa walikogwa ama? Miaka yote iio wako kimya

Aisee kumbe hata Africa wale jamaa zetu wallooapa kufia madarakan na wengine wanapanga kuwapa watoto wao wakitoka wanaweza kuondoka mapema kabisa.

Unaambiwa jeshi limechukua madaraka limevunja baraza la mawazori

Haotoshi wanataka kukagua wizi wote uliotokea

Haitoshi hapa nkacheka kesho wanakutaba na viongozi wa wanafunzi ikulu kuomba ushauri wanamwamini nani awepoo kwenye uongozi mpya

Naona mdahuu wamemtangaza jamaa mshindi wa Nobel awepo kwenye uongozi mpyaaaa

Wanafunzi
..anawaona

Si upinzani si serikali Afrika ndiyo kwao
 
Kenyaaaaa

Gen z

Hukoo bangladesh wanafunzi wa chuoo wamemtoa resii waziri mkuu aliekuwa madaraka 20 yrs kakimbilia. India

Nawaza hawa jamaa walikogwa ama? Miaka yote iio wako kimya

Aisee kumbe hata Africa wale jamaa zetu wallooapa kufia madarakan na wengine wanapanga kuwapa watoto wao wakitoka wanaweza kuondoka mapema kabisa.

Unaambiwa jeshi limechukua madaraka limevunja baraza la mawazori

Haotoshi wanataka kukagua wizi wote uliotokea

Haitoshi hapa nkacheka kesho wanakutaba na viongozi wa wanafunzi ikulu kuomba ushauri wanamwamini nani awepoo kwenye uongozi mpya

Naona mdahuu wamemtangaza jamaa mshindi wa Nobel awepo kwenye uongozi mpyaaaa

Wanafunzi
..anawaona
Yaani unashangaa Bangladesh kuongozwa na mtu mmoja miaka ishirini ila hujashangaa genge la ccm kuhodhii madaraka nchi hii kwa miaka zaidi ya 65 kwa mtutu wa bunduki huku wakifanya unyama ,mauaji na hujuma kubwa karibia kila uchaguzi , na najisi za kila namna kuharibu demokrasia na chaguzi huru nchi hii

Mimi nahisi sisi ndio misukule kabisa, bora hata hao waliorogwa
 
Back
Top Bottom