Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes. It is true kwamba safari hii alikusudia kuwaonesha kuwa hategemei kubebwa na mtu ndio akaitumia familia yake ambayo haitakuwa na cha kumdai. Ili kuondoa udhia atafanya mabadiliko makubwa tu na ataliendesha kwa mkono wa chuma. He has nothing 2 lose.Tumeona ....Hawaaminiki,Lkini hatujui kama mheshimiwa ataamua kuwajaza tena ktk uwaziri..or kwakuwa amepiga kazi mwenyewe ..basi hatajali kulipa fadhila...??