Elections 2010 Hivi Baraza la Mawaziri la Kikwete kama akishinda litakuwaje?

Elections 2010 Hivi Baraza la Mawaziri la Kikwete kama akishinda litakuwaje?

Baraza kama kawa litapangwa na Rostam. Japo Rostam hatakuwepo kwenye baraza. Ngeleja na kombani watabaki na nafasi zao. Mambo ya ndani ataingia January Makamba.
 
Tumeona ....Hawaaminiki,Lkini hatujui kama mheshimiwa ataamua kuwajaza tena ktk uwaziri..or kwakuwa amepiga kazi mwenyewe ..basi hatajali kulipa fadhila...??
Yes. It is true kwamba safari hii alikusudia kuwaonesha kuwa hategemei kubebwa na mtu ndio akaitumia familia yake ambayo haitakuwa na cha kumdai. Ili kuondoa udhia atafanya mabadiliko makubwa tu na ataliendesha kwa mkono wa chuma. He has nothing 2 lose.
 
Back
Top Bottom