Wakuu inashangaza kwa kweli!
Yaani mtu mwenye bachelor ya finance hatambuliki ajira portal wakati holder wa hii kitu anashiriki kozi nyingi za accounts akiwa chuo, in short mtu wa finance anapiga kazi za accounts bila zengwe lolote ila ajira za kwenye mabenki ndio imebaki kuwa kazi ya pekee kwa mtu wa finance.
AJIRA PORTAL SAWA AJIRA ZIMETOLEWA NYINGI ILA KUNA WATU WATABAKI BADO WAMEKUNJA ROHO KWA KUPITWA NA HIZI AJIRA
Yaani kweli mtu wa finance unamuacha kwenye post za accountant, unamuacha kwenye assistant accountant/accounting officer
This is not fair
AJIRA PORTAL NAWAITA JINA LENU MARA TATU!
WATU WENYE BCOM FINANCE MMEWASAHAU NA HIZI NI AJIRA ZINAZOWAHUSU
Yaani mtu mwenye bachelor ya finance hatambuliki ajira portal wakati holder wa hii kitu anashiriki kozi nyingi za accounts akiwa chuo, in short mtu wa finance anapiga kazi za accounts bila zengwe lolote ila ajira za kwenye mabenki ndio imebaki kuwa kazi ya pekee kwa mtu wa finance.
AJIRA PORTAL SAWA AJIRA ZIMETOLEWA NYINGI ILA KUNA WATU WATABAKI BADO WAMEKUNJA ROHO KWA KUPITWA NA HIZI AJIRA
Yaani kweli mtu wa finance unamuacha kwenye post za accountant, unamuacha kwenye assistant accountant/accounting officer
This is not fair
AJIRA PORTAL NAWAITA JINA LENU MARA TATU!
WATU WENYE BCOM FINANCE MMEWASAHAU NA HIZI NI AJIRA ZINAZOWAHUSU