Hivi biashara ya mayai ya kware iliishia wapi jamani?

Ilikuwa kama RIFARO. Wamekusanya chao na kusepa, hamna nguvu wala kupona magonjwa.
 
Siyo nguvu za kiume tu. Watangaze yanaondoa vitambi kea kina dada. Utaona shughuli yake
 
hahaaa hii kitu ikoje mkuu ..hebu idadavue vyema..daahh watu wezi aisee


hahaaa hii kitu ikoje mkuu ..hebu idadavue vyema..daahh watu wezi aisee
Acha tu mkuu ,, hii mambo unaenda unatoa laki5 na 60 , zen unapewa package ina dawa eti inatibu "magonjwa 100" ,pia ina kahawa inayoongeza 'akili darasani',unapewa pia dawa za mswaki kwenye hiyo hiyo package, ambayo thamani ya package ndio hiyo pesa uliyotoa…!

Sasa hiyo package ni wew uende kuuza au ukatumie mwenyewe kwa afya yako, zen unatafuta watu wa kuwajoin kwenye biashara , basi mambo yanakua yameiva unaanza kuingiza pesa na wewe kupitia chain ya watu uliowaunganisha

Jamaa wahuni sana , ukienda kwenye semina zao wanaongelea kununua magari na viwanja ndani ya miezi miwili

Mimi nimefatwa na washikaji zaidi ya wawili kuhusu hiyo makitu bt niliwaambia ujinga wa hivo sifanyagi
 
hahaaaa mimi walinipigiaga Simu ..nikawaambia kuwa sina muda huo ..kwanza alikuwa anajifnya anaongea kama anatype gazeti ..nikamwambia skia Binti Nina kazi nyingi mnoo zakufnya so huo muda unaohitaji kuupata toka kwangu eti nije ofisini kwenu sintokuwa nao
 

Ulikuwa upepo tu, sasa hivi upepo gani unavuma?
 
Wameshawishi sana kuingia na hata nilipoona vijana wanalishwa tango poli niligundua ukosefu wa Elimu pamoja na baadhi yao kuonekana ni wasomi.

Nimegundua vijana wengi ni wavivu kwenye kuitumikisga AKILI kuzalisha au kuangalia fulsa za kipato ila wanapenda matokeo ya haraka.
 
Wameshawishi sana kuingia na hata nilipoona vijana wanalishwa tango poli niligundua ukosefu wa Elimu pamoja na baadhi yao kuonekana ni wasomi.

Nimegundua vijana wengi ni wavivu kwenye kuitumikisga AKILI kuzalisha au kuangalia fulsa za kipato ila wanapenda matokeo ya haraka.
 
Vile vimayai ukiviona km una roho nyepesi huli. Mimi nililetewa vikanishinda kbd
 
Sijui huwa hawajui kuwa wanafanywa wamachinga na pesa zao zinaenda buree,loh!!!
 
Sijui huwa hawajui kuwa wanafanywa wamachinga na pesa zao zinaenda buree,loh!!!

nimejikuta nina shangaa hyo picha yako, sijui mnaita avatar! Sisi wa ishenebulandi tunaita d.p
 
Sasa ni mbegu za shia sijui wanaitaje mwenyewe nimesahau
 
Mambo ya Forever living, Deci, upatu, D9, Forex
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…