Kama uliishi tumboni kwa mama yako nahukumbuki chochote juu ya maisha hayo bac kaburi ni kama tumbo(thummma turaduuna aala alimul ghaib wa shahadaWakuu poleni na mishuhuliko yenu!!
Hivi wakuu hua viongozi wetu wa dini hua wanatufundishaga kuwa mbinguni hukohakuna kazi bali ukifa ukaenda huko kazi iliopo ni kukesha kwa kuimba!!hivi ni kweli wakuu hua wanaenda kukutana huko mbinguni ndugu jamaa na marafiki??
mtu anaconsist mwili na roho..huu mwili ni minyamanyama tunayohangaika nayo tukifa inaliwa na funza inatoweka.roho inaenda kwa muumba.sio kila binadamu amezikwa kaburini,wengine wameliwa na simba,wameteketea kwa moto had majivu..kinachomatter ni roho ndugu.Kwa mujibu wa Biblia mtu unapokufa haendi mbinguni moja kwa moja,Bali hubaki kaburin hadi siku ya mwisho atakapofufuliwa!!..
Ulichosem n kwel brother,kabur kwa context ya kibiblia yaan "hades" hamaanishi "shimo"tu Bali ni pamoj na hayo yote uliyoorodesha,by the way "HUU MWILI WA NYAMA TULIONAO HAUWEZ KUURITHI UZIMA WA MILELE"mtu anaconsist mwili na roho..huu mwili ni minyamanyama tunayohangaika nayo tukifa inaliwa na funza inatoweka.roho inaenda kwa muumba.sio kila binadamu amezikwa kaburini,wengine wameliwa na simba,wameteketea kwa moto had majivu..kinachomatter ni roho ndugu.