Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,636
- 2,053
MimiNani alienda akhera na kurudi...??atusaidie hapa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MimiNani alienda akhera na kurudi...??atusaidie hapa....
sawa bt mi sio braza bwana..[emoji136]Ulichosem n kwel brother,kabur kwa context ya kibiblia yaan "hades" hamaanishi "shimo"tu Bali ni pamoj na hayo yote uliyoorodesha,by the way "HUU MWILI WA NYAMA TULIONAO HAUWEZ KUURITHI UZIMA WA MILELE"
I'm so sorry!!..sawa bt mi sio braza bwana..[emoji136]
Nahisi kuba ka-ukweli flani ktk hili!Kama uliishi tumboni kwa mama yako nahukumbuki chochote juu ya maisha hayo bac kaburi ni kama tumbo(thummma turaduuna aala alimul ghaib wa shahada
Mimi niliendaga mara moja siku ya tarehe 3/11/2013 nikarudi baada ya siku 2 ila mpaka leo sikumbuki niliyoyaona huko![emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]Nani alienda akhera na kurudi...??atusaidie hapa....
wala usiwaze[emoji4]I'm so sorry!!..
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]wala usiwaze[emoji4]
Wakuu poleni na mishuhuliko yenu!!
Hivi wakuu hua viongozi wetu wa dini hua wanatufundishaga kuwa mbinguni hukohakuna kazi bali ukifa ukaenda huko kazi iliopo ni kukesha kwa kuimba!!hivi ni kweli wakuu hua wanaenda kukutana huko mbinguni ndugu jamaa na marafiki??
Hawezi kumjua mtu, akili inabadilika unakuwa kama ZUZU.uthibitisho wa hili no pale MTU anspotaka kukata roho anakuwa mwehu kuongea hovyo hovyo .
Sio kweli.Kama uliishi tumboni kwa mama yako nahukumbuki chochote juu ya maisha hayo bac kaburi ni kama tumbo(thummma turaduuna aala alimul ghaib wa shahada
Hata Qur'ani pia.Kwa mujibu wa Biblia mtu unapokufa haendi mbinguni moja kwa moja,Bali hubaki kaburin hadi siku ya mwisho atakapofufuliwa!!..
mnazochapa ngumi liveSasa mkuu ukienda huko mbinguni mara ghafla ukakutana na aliekuwa mbaya wako hivi hapo inakuwaje!![emoji86] [emoji86]