Mhandisi Mzalendo JF-Expert Member Joined Aug 23, 2010 Posts 6,682 Reaction score 11,461 Feb 23, 2024 #21 Si maarufu ukanda wa mashariki... Zipo X1, X2,X3, X4, X5, X6 na X7 Kwetu huwa naona X1 , X3 na X5... nadhani hazijapendwa Tz
Si maarufu ukanda wa mashariki... Zipo X1, X2,X3, X4, X5, X6 na X7 Kwetu huwa naona X1 , X3 na X5... nadhani hazijapendwa Tz
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Feb 26, 2024 #22 _ID said: Niko pale anapo park ile BMW the whole day, kile ndo kijiwe changu!!!! Click to expand... Ndio lile lenye sanduku juu.
_ID said: Niko pale anapo park ile BMW the whole day, kile ndo kijiwe changu!!!! Click to expand... Ndio lile lenye sanduku juu.
Captain Fire JF-Expert Member Joined Jul 23, 2023 Posts 2,435 Reaction score 5,000 Feb 26, 2024 #23 Miti7 said: Ni gari ya 2007 au 2008 kama sikosei Inakula sana mafuta ndiyo maana wengi hawazipendi pia spea zake ni adimu Ila ukiwa nayo ni kibosi sana Click to expand... Kama hujui kitu nyamaza utajidhalilisha usikute hata gari yenyewe inayoongelewa huijui
Miti7 said: Ni gari ya 2007 au 2008 kama sikosei Inakula sana mafuta ndiyo maana wengi hawazipendi pia spea zake ni adimu Ila ukiwa nayo ni kibosi sana Click to expand... Kama hujui kitu nyamaza utajidhalilisha usikute hata gari yenyewe inayoongelewa huijui
Quavohucho JF-Expert Member Joined Aug 30, 2020 Posts 798 Reaction score 2,028 Feb 26, 2024 #24 Mwanga Lutila said: Au kwasababu niko mjini ila ndani ndani Ndo maana siyaoni .. Ipo moja tu Iringa nzima. Click to expand... miaka minne nyuma! Kulikuwa n X6 kama mbili iringa nzima! Moja ya jamaa mmja ana workshop karib na alexander hotel
Mwanga Lutila said: Au kwasababu niko mjini ila ndani ndani Ndo maana siyaoni .. Ipo moja tu Iringa nzima. Click to expand... miaka minne nyuma! Kulikuwa n X6 kama mbili iringa nzima! Moja ya jamaa mmja ana workshop karib na alexander hotel