Daah!!!! Kweli usemayo? Yule Mwamba angefufuka leo akasikia hili Daah!!!!! Wahenga walikuwa sahihi "Baniani Mbaya Kiatu Chake dawa", Lile Kundi mlilolibatiza Sukuma Gang njooni Mjibu mapigo. The late King is being dishonored ...
Wewe ni M*wa koko!Kama Jiwe aliweza kuwa Rais wa nchi sembuse huyo jamaa tena mwenye akili timamu
Sukuma Gang wanaandaa mrithiDaah!!!! Kweli usemayo? Yule Mwamba angefufuka leo akasikia hili Daah!!!!! Wahenga walikuwa sahihi "Baniani Mbaya Kiatu Chake dawa", Lile Kundi mlilolibatiza Sukuma Gang njooni Mjibu mapigo. The late King is being dishonored ...
Kabisa unaamini wanakupambania?Sawa Dr kiiza besigye aliyeserious na mwenye haiba kaupata huo urais?
Tuwaamin wanaotupambania wamejitoa kwa ajili yetu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Na aliwagonga sana wenye vyeti feki... Sisi tunakula nchi wakati wote....🤣Kama yule dhalim wa kihutu aliweza nani atashindwa?
Na aliwagonga sana wenye vyeti feki... Sisi tunakula nchi wakati wote....🤣Kama yule kubwa la maadui aliweza basi hata mimi naweza
Ana utoto utoto mwingi sana. Hata personality ya Urais hana. Nadhani abaki tu kuwa mwanaharakati wa vijana. Maana sidhani hata Baganda nao wanamchukulia serious.
Sema wanamtumia tu kumsumbua dictator Museven sababu hakuna mwingine tena mwenye makeke katika Siasa za Uganda ukimtoa Kizza Besigye. Ambaye huyu namwona ni mtu ambaye anaonekana kuwa serious na anaweza. Bob Wyne/Wine utoto mwingi.
Isingekuwa figisu, jamaa angeingia ikulu. M7 na timu yake wanamwogopa kama upupu.Ana utoto utoto mwingi sana. Hata personality ya Urais hana. Nadhani abaki tu kuwa mwanaharakati wa vijana. Maana sidhani hata Baganda nao wanamchukulia serious.
Sema wanamtumia tu kumsumbua dictator Museven sababu hakuna mwingine tena mwenye makeke katika Siasa za Uganda ukimtoa Kizza Besigye. Ambaye huyu namwona ni mtu ambaye anaonekana kuwa serious na anaweza. Bob Wyne/Wine utoto mwingi.
Unataka ajibihevu namna gani wajumuia ya madola kazi mnayo kwakweliBob bado sana, huwezi kuwania uraisi ukawa unavaa vile una behave hivyo huyo bado sana huyo anachangamsha tu lkn ni ngumu sana bado hajakomaa hata kidogo
Mbona bwana Zele wa Ukraine Ni Rais?Ana utoto utoto mwingi sana. Hata personality ya Urais hana. Nadhani abaki tu kuwa mwanaharakati wa vijana. Maana sidhani hata Baganda nao wanamchukulia serious.
Sema wanamtumia tu kumsumbua dictator Museven sababu hakuna mwingine tena mwenye makeke katika Siasa za Uganda ukimtoa Kizza Besigye. Ambaye huyu namwona ni mtu ambaye anaonekana kuwa serious na anaweza. Bob Wyne/Wine utoto mwingi.
Sasa Zelewsky unamfananisha na BoB wine? Please uwe na heshima na watu. Bob Wine hatokuja kuwa Rais wa Uganda. Waganda si wapumbavu kiasi hicho.Mbona bwana Zele wa Ukraine Ni Rais?
Bobi ana akili kuliko hizo takataja za sijui personality and such upuuzi
Sasa Zelewsky unamfananisha na BoB wine? Please uwe na heshima na watu. Bob Wine hatokuja kuwa Rais wa Uganda. Waganda si wapumbavu kiasi hicho.
Sijui. Nipe maoni yako.Kwahiyo jenerali muhoonzi ndio anafaa kuja kuwa rais au sio?
Sijui. Nipe maoni yako.
MBobwine akiacha bhange anaweza kuja kuwa Rais mzuri baadae
Hivi wewe bado mdogo ivo?? ! zile ni sarakasi za Museveni, Konyi yuko wapi hapa Duniani? yuko uganda humo humo!! Baganda, Lakuena walizikwa humo humo tena na serikali!Ana utoto utoto mwingi sana. Hata personality ya Urais hana. Nadhani abaki tu kuwa mwanaharakati wa vijana. Maana sidhani hata Baganda nao wanamchukulia serious.
Sema wanamtumia tu kumsumbua dictator Museven sababu hakuna mwingine tena mwenye makeke katika Siasa za Uganda ukimtoa Kizza Besigye. Ambaye huyu namwona ni mtu ambaye anaonekana kuwa serious na anaweza. Bob Wyne/Wine utoto mwingi.
Ungetulia uandike kwa utulivu uelewekeHivi wewe bado mdogo ivo?? ! zile ni sarakasi za Museveni, Konyi yuko wapi hapa Duniani? yuko uganda humo humo!! Baganda, Lakuena walizikwa humo humo tena na serikali!
Museven anajua michezo yooote kaiweka Uganda mahala salama sana hkn atakaye weza haya labda Kainerugaba
unamjua rajolina, wakati anachukua urais katoka kupiga disco club maana alikuwa DJ,rais anapigiwa kura na wananchi wote hapimwi kwa vigezo unavyoviongea ww. nikwambie ni hivi akija DUDUBAYA, MATONYA,AUNT EZEKIEL n.k akataka urais na akapata suport ya kutosha atakuwa raisi whether you or not. kura zikitosha tu kawa purezidaaaBob bado sana, huwezi kuwania uraisi ukawa unavaa vile una behave hivyo huyo bado sana huyo anachangamsha tu lkn ni ngumu sana bado hajakomaa hata kidogo