Hivi Bobi Wine anaamini kabisa anaweza kuja kuwa Rais wa Uganda?

Endelea kuamini hivi hivyo ungekuwa unajua kitu kinaitwa Leadership traits hata usingebisha
 
Endelea kuamini hivi hivyo ungekuwa unajua kitu kinaitwa Leadership traits hata usingebisha
achana na mavitu yako ya darasani kwa wapiga kura, mtu yeyote hata kama ni kichaa anaweza kuwa rais mradi tu apate kura za kutosha. cha muhimu sana kukijenga vizuri ni sheria na mfumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…