DOKEZO Hivi bodi ya benki ya NMB mpo?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.

Mbwigame

New Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
2
Reaction score
3
Nashindwa kuelewa hii bodi ya wakurugenzi ya NMB, mbona mpo kimya sana na mambo yanayoendelea NMB kwasasa.

Huyu mtu anayeitwa Pete Novat amekuwa na madaraka makubwa sana kaachiwa na huyu Mama wa kizungu ananyanyasa sana watu, hasa kwenye upande wa rasilimali watu. Kazi anajaza ndugu zake NMB na watu anayewataka yeye. Na kazi yake nikusikiliza umbea na kukomoa watu na kupenda kuhodhi kila kitu.

Yeye kama Director wa ICT idara yake ina ajiri kila mwezi lakini yote inatokana na kuachiwa kusimamia idara ya rasilimali watu na hakuna mtu anayemwambia kitu. Anasema yeye ndo mwenye benki sasa. Anataka kushikilia kila kitu biashara, ICT, rasilimali watu na uvumbuzi wa bidhaa.

Huyu jamaa anaiba hela nyingi sana za benki kwa system ambazo hazina mbele wala nyuma. Ushahidi wa transaction zake za benki zipo. Na yule mkenya anayembeba wa eclectics mwambie mwisho wake yeye na wewe unakaribia na mahakama ya mafisadi inawaita.

Bodi chunguzeni huyu mtu hata kwa kuuliza wafanyakazi wa NMB makao makuu, anaiingiza benki hasara.

=====

Ufafanuzi kutoka NMB;

=====

Tunachulia kwa uzito tuhuma zilizotolewa na kuelekezwa kwa baadhi ya wafanyakazi wetu kwani zina lengo zuri la kuifanya benki kuendelea kuwa namba moja kwenye kusimamia maadili.

Ndugu wana jukwaa, NMB tunajipambanua kwa kusimamia maadili mojawapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wetu pamoja na kuwa na sera kali dhidi ya rushwa na upendeleo wa aina yoyote katika kutoa ajira.

Habari zaidi, soma=>NMB: Tutaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu - JamiiForums
 
Ushauri tu, inawezekana kabisa bodi ya NMB pengine hawapo humu Jami forums. Kama tuhuma unazozitoa ni za kweli na unasema una ushahidi wa transactions, kwa nini usipeleke tuhuma hizi direct to the board hata kwa barua tu? (suppose you need to hide identity)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukishindwa kujiajiri.. na unapenda vyeo kwenye ofisi za watu utakuwa mtu wa majungu tu milele.. kwa walio juu yako..

ukiona kazi za watu mizinguo na kuna upendeleo.. achana nazo.. endesha biashara yako tu
 
tumekusikia tunashughulikia hilo jamboo mapemaa sanaa[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Tulia mkuu tupo nyuma yake. Si yeye peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app

Uchunguzi tunaomba uishe mapema, huyu mtu ni muuaji wa familia za watu. Allishasababisha mpaka Mama mmoja idara ya ICT alipoteza maisha kwa mambo yake ya kufanya watu wawe acting, officer anakuaje acting.

Na yule mwanamke wake anayejifanya Boss wa benki nzima tunaomba naye aangaliwe... kaongezewa mshahara mara mbili kwa mwaka mmoja Kisa ni ukaribu wake na huyu jamaa lakini ukiangalia huyu Dada kazi yake yeye ni kupeleka umbea kwa huyu Pete na kwa M.D. Tatizo lake kajaa bichwa na kazi yake ni kutishia watu ambao wana mtazamo tofauti naye. Kamfanyia mbaya Kagaruki Kisa tu alikataa kuwe Yes Boss.

Wajaa laana hawa mtu na Boss wake.
 
Pole mkuu. Watakusikia kilio chako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana halogeki!?? Kuna kitu kinaitwa sakrisi akipigwa hiyo wala hamtajua kaondoka lini ( that is african chemistry) ni kiboko ya viherere hajalishi mzungu mchina wala nani ukipgwa hiyo lazima unyooke
 
Na yule mkenya anayembeba wa eclectics mwambie mwisho wake yeye na wewe unakaribia na mahakama ya mafisadi inawaita.
ulivyotaja na mkenya tu nimeamini hii habari ni ya kweli
Kila sehemu ya kazi akiwepo mkenya basi ujue kuna tatizo
Halafu benki ni ya watanzania unalileta jitu kutoka kenya la nini?si aende Equity huko
 
Ina maana halogeki!?? Kuna kitu kinaitwa sakrisi akipigwa hiyo wala hamtajua kaondoka lini ( that is african chemistry) ni kiboko ya viherere hajalishi mzungu mchina wala nani ukipgwa hiyo lazima unyooke

Duh we jamaa ni shida na hiyo sayansi yako bora ungeitumia kupasua milima na mawe kwenye reli mpya ya SGR unapiga hela ya kufa mtu[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
How do protect whistle blower? kwa Tanzania bado sana,ni heri ajilipue hapahapa JF
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…