Hivi Bongo Muvi wana Shida gani hawa watu?

Kacheza filamu na rammy galis aliyekuwa mpenzi wake ambayo haijatoka bado...inaitwa HUKUMU
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mungu anisamehe jamani ila haka kamtu nakaona kama kanafiki sana..na mwenzake McPilipili.
Watu wafupi na wasio na nyama n matatizo matupu ref. Pole pole[emoji5]
 
Kaigiza movie moja na ramy
 
Siku hizi hawatoi movie mpya wamebakiza kujichoresha kwenye misiba, na pia yule mc pilipili nahisi kama sio utoto ana mtindio wa ubongo kwa nilichoona anafanya kwa kujirekodi selfie na mtoto wa marehem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…