Hivi Cardinal Pengo ni Mtanzania?

Hivi Cardinal Pengo ni Mtanzania?

Nafikiri mnatakiwa muielewa historia. Wale wote waliozaliwa nchini tanzania kabla ya uhuru hata kama wazazi wao walikuwa si watanzania hao ni watanzania. Acheni kusemasema mambo tu ilimradi mnajua kusoma na kuandika. Kwa hiyo huyo karidinali hata kama wazazi wake hawakuwa watanzania lakini kwa kuwa yeye alizaliwa hata kabla ya tanzania kuzaliwa (1961) yeye ni mtanzania.
 
Pengo ni mtanzania halisi(mtanganyika)anatoka rukwa,kabila lake ni mfipa.anatoka kijiji cha Mwazye.SASA HAYO MENGINE NI KWA MUJIBU WA KATIBA YA ROMAN CATHOLIC NA SI KWA KATIBA YA TANZANIA.na katiba ya Roman Empire haibadilishi utanzania wa mtu.
 
Kutokana na kusoma mada mbalimbali humu jamvini na kujaribu kumuona kama vile Muadham kardinari Policarp Pengo hastahiki kuwa mtanzania.

Kwanza kabisa yeye ni mmoja wa wale wateule wanaoingia bila wasi wasi katikakumchagua kiongozi wa dhehebu la katoliki Duniani ambaye pia anakuwa kiongozi wa vatican.

Vile vile yeye anaweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa wakatoliki duniani na Kiongozi wa nchi ya vatican, Kwani Pope anachaguliwa miongoni mwa makadinari. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za kanisa katoliki anaweza kuwa kiongozi wa kidunia wa dhehebu hilo.

sasa kama kuna mtu anayeweza kuchagua kiongozi wa nchi nyingine na mwenye sifa za kuchaguliwa kuwa kiongozi bila shaka yoyote huyo atakuwa ni kiongozi wa nchi husika. Sasa naweza kusema Pengo ni M vatican.

Tunajuwa na naamini wazi yeye anahodhi pasipoti ya Tanzania na hivyo ni mtanzania.

Vile vile tunajua wazi wa tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili? sasa inakuwaje.

naomba wanasheria mlifafanue hilo.

naleta hoja

litumikie taifa lako ya ngoswe mwachie ngoswe naona pengo anawakimbiza mchaka mchaka sana poleni
 
akili ikichoka taabu kwelikweli,wekeni mada zinaleta changamoto kwa faida ya tanzania yetu.....unaweka mada za kitoto unapoteza muda kama vipi zipeleke FB kule kuna mdent itawafaa sana
 
Kwani ukongoman wake unatatizo gani na utumishi wake kwa Mungu. Wote waliozaliwa Tanzania kabla ya 1961 ni watanzania.
 
Hata Jenerali ilibidi aombe tena uraia
Ukizaliowa TZ kama wazazi sio wa TZ kuna taratibu zake sio Auto matic
Hakuna anae mmind yeye nui kama kina kakobe na mwingira tu hakuna tofauti kwetu
Na hapa sio njaa tunashiba uzuri sana ila tunajadili mada iliyopo na suala sio geni hapa kujadili uraia wa mtu
Humu watu wamehoji hata uraia wa Nyerere , wa Rage,wa Mkapa , wa Mmbashe . Wa Sheikh Ponda na wengineo
Wote wana nafasi na wote akiwemo pengo ni sawa watajadiliwa sio wote humu hatuwezi kufikiri out of someone minds we are free thinking na kama kuna hoja ya kwamba yeye ni mtanzania kwa kuzaliwa wataje wazazi wake wawili na kama mtanzania wa kuhamia pia toboeni tu wa kuja kutoka wapi its not a big deal

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
jamani tuache jazba, kimsingi Mwadham Pengo ni Mtanzania lakini hoja ya msinig ya huyu bwama sio kumponda mhesimiwa ila tu anajaribu kutafuta uelewa wa mgogoro wa kisheria ambao si lazima u-apply kwa Mheshimiwa ila katika kukuza uelelwa wa migogoro ya kisheria ni vizuri kupanua uelewa wetu kwa mambo kama haya. kwa mfano unajua kua mtu akizini na mke wa mtu akampa mimba ana haki ya kudai huyo mtoto kisheria na kushinda kesi? tusichukulie legal conflict katika political dimension jamani
 
Kimsingi ni kuwa Wakatoliki wote ni raia wa Vatican.

Watu wengi hawajui lakini ukweli ni kuwa sio lazima Pope awe Cardinal...pope anaweza kuwa mlei, padri au hata mtawa (bruda). Sasa kama hawa wote wanaweza kuchaguliwa pope inamaanisha nn? Sifa ya pekee ni kuwa tu mkatoliki.

Mtapoteza tu muda wenu ila mjue kila Mkatoliki ni raia wa Vatican na sio pengo peke yake
 
na vipi kuhusu Askofu Novatus Rugambwa ambae ni balozi wa vatican huko kwenye moja ya nchi za ASIA
 
Kimsingi ni kuwa Wakatoliki wote ni raia wa Vatican.

Watu wengi hawajui lakini ukweli ni kuwa sio lazima Pope awe Cardinal...pope anaweza kuwa mlei, padri au hata mtawa (bruda). Sasa kama hawa wote wanaweza kuchaguliwa pope inamaanisha nn? Sifa ya pekee ni kuwa tu mkatoliki.

Mtapoteza tu muda wenu ila mjue kila Mkatoliki ni raia wa Vatican na sio pengo peke yake

Naomba nikupinge.
Ina maana padri na Askofu na Cardinal wanalingana ?
 
Hivi hili kanisa katoliki limeingiliwa na nini?
 
Pengo ni mtanzania halisi(mtanganyika)anatoka rukwa,kabila lake ni mfipa.anatoka kijiji cha Mwazye.SASA HAYO MENGINE NI KWA MUJIBU WA KATIBA YA ROMAN CATHOLIC NA SI KWA KATIBA YA TANZANIA.na katiba ya Roman Empire haibadilishi utanzania wa mtu.
Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ni raia wa Tanzania, na pia ni raia wa Vatican. Kulingana na sheria ya Tanzania Pengo anakwenda kinyume kwa sbb ana uraia popo. Pengo anasafiri akitumia pasipoti ya Vatican ambayo ina hadhi ya Kibalozi, kuliko ile ya Tz ambayo ni ya kawaida
 
Kimsingi ni kuwa Wakatoliki wote ni raia wa Vatican.

Watu wengi hawajui lakini ukweli ni kuwa sio lazima Pope awe Cardinal...pope anaweza kuwa mlei, padri au hata mtawa (bruda). Sasa kama hawa wote wanaweza kuchaguliwa pope inamaanisha nn? Sifa ya pekee ni kuwa tu mkatoliki.

Mtapoteza tu muda wenu ila mjue kila Mkatoliki ni raia wa Vatican na sio pengo peke yake
Wewe acha kudanganyanya watu hapa, JF sio kikao cha kahawa ni nakadinari tu ndio automatically ni raia wa Vatican. Mimi ni mkatoliki na aliyeleta mada japo ni ya zamani ana hoja ya msingi.

Kwahoja ya mleta mleta mada Pengo ndio Mtanzania peke yake mwenye dual citizenship inayotambuliwa rasmi.
 
Simply incoherent, unsubstantiated and self defeating in a way that would make Plaxico a war hero.

Yaani unajenga hoja halafu unaibomoa mwenyewe, nyingine unaijenga bila msingi.

The structure of the state of Vatican, being based on a Roman Catholic city- state and a wordwise constituent, is unique and your comparison is the proverbial comparison of apples to oranges.You conceded that Cardinal Pengo holds a Tanzanian passport and that should close the matter.

To make matters worse, you want to disqualify cardinal Pengo based on his ecclesiastic eligibility and an unrealized future, why don't you then go ahead and declare all Catholics -or at least the unmarried ones- to be non-Tanzanians because they are eligible to enter the clergy and eventually be pope?

What kind of lethargic logic is this? Is there something else behind this unfortunate if not unassertive argument?

Is this the best you can do?

Great!
Mtoa mada hebu rudi u reply post hii.
 
Former president of Tanzania Mwl Julius Nyerere said Africa is of Interest when we are killing one another, if we want to appear in European News we can cause more trouble somewhere
 
Back
Top Bottom