Sasa kuna haja gani ya uwepo wa mchujo kwann wasiteue tu fulani utagombea hapa,nyie wapiga kura mtamchagua huyu sawa mpende msipende huyu ndo mtakaemchagua kuliko kukataa maamuzi ya wajumbe.
Njia salama wajumbe ngazi za chini wapige kura za kuenguana kwa kurudia rudia Hadi mshindi apatanikae