LGE2024 Hivi CCM ni chama kipya kilichosajiliwa mwezi huu?

LGE2024 Hivi CCM ni chama kipya kilichosajiliwa mwezi huu?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).

Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.

CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.

Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.

Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
 
Wakati fulani nilijiuliza hivi 'ni mimi sina akili ama mimi ni mngeni hapa nchini ama wao ni wajinga" sababu ahadi alizotoa Josephat Gwajima hazikufaa kabisa kumfanya awe mbunge wa jimbo lililopo mkoa wenye maendeleo tanganyika nzima
 
Kuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).

Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.

CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.

Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.

Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
😆😆😆😆
 
Kuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).

Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.

CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.

Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.

Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
Hata ukienda uganda nae yupo hivo hivo kipindi cha kampeni.
Utafhani hawakuwepo kumbe wao ndo source of all.
 
Kuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).

Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.

CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.

Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.

Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
Mkuu kilewela hiyo ni tisa, kumi ni pale chama tawala wanapotoa lawama kwa Cdm,

uzinduzi kote nchini hatujasikia sera. Na mikakati yao zaidi ya matusi, kejeli na vijembe kwa CDM, Mbowe na Lisu
 
Kuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).

Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.

CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.

Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.

Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
chama cha hovyo sana imekata pumzi na kupoteza mwelekeo hawajui hata wanachokisimamia
 
Kuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).

Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.

CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.

Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.

Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
Kweli kabisa, chadema kina miaka 30, kimepokea ruzuku bilioni karibu 300, halafu hakina ofisi yake ya kudumu, kinakodi.

Hapo mjini jengo la bilioni 5 ni kitu cha maana sana
 
Na kuna wajinga wengi wanawasikiliza. Ntamchagua mwenyekiti wa CCM matano Kwetu Kwa sababu namfahamu si kwamba status changamoto zaidi alipofikia. Issue kama maji, takataka, Barbara labda ziko juu ya uwezo wake.
 
Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.

Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
Mtanzania mwana TCCM kindakikandi huyu (chiembe) hapa anajibu hoja yako
Kweli kabisa, chadema kina miaka 30, kimepokea ruzuku bilioni karibu 300, halafu hakina ofisi yake ya kudumu, kinakodi.
Jirani zetu...
Wapo waliokuwa wajinga lakini sasa wanaanza kupata akili.
Wapo waliokuwa wamelala lakini taratibu wanazinduka kuamka.
Wapo waliokuwa wamefungwa minyororo wasije wakafurukuta.
Wapo waliokuwa wamefungwa midomo wasiweze kuongea.

Hayo yote kwa binadamu hai ni ya muda tu, hayadumu milele!
Walioelimika, wakajitambua huwa tayari kukaribisha mabadilko.

Sisi Watanganyika...(Watanzania bara?)
Hatuhitaji shule wala chuo, tuna CCM!
Hatuhitaji dini wala imani, tuna CCM!
Hatuhitaji uhuru wala haki, tuna CCM!
Hatuhitaji utu wala undugu, tuna CCM!
Hatuhitaji nchi wala utaifa, tuna CCM!
Hatuhitaji Katiba wala dira, tuna CCM!

Watanzania hatuwezi kuamshwa, kuelimishwa wala kupokea mabadiliko...hatuna uhai, tuna CCM!
 
Wakati fulani nilijiuliza hivi 'ni mimi sina akili ama mimi ni mngeni hapa nchini ama wao ni wajinga" sababu ahadi alizotoa Josephat Gwajima hazikufaa kabisa kumfanya awe mbunge wa jimbo lililopo mkoa wenye maendeleo tanganyika nzima
Gwaji boy hakushinda uchaguzi wa
Ubunge
 
Wakati fulani nilijiuliza hivi 'ni mimi sina akili ama mimi ni mngeni hapa nchini ama wao ni wajinga" sababu ahadi alizotoa Josephat Gwajima hazikufaa kabisa kumfanya awe mbunge wa jimbo lililopo mkoa wenye maendeleo tanganyika nzima
Mkuu, kwani ahadi hizo zimetekelezwa?
 
Mkuu kilewela hiyo ni tisa, kumi ni pale chama tawala wanapotoa lawama kwa Cdm,

uzinduzi kote nchini hatujasikia sera. Na mikakati yao zaidi ya matusi, kejeli na vijembe kwa CDM, Mbowe na Lisu
Mkuu, wana kauli mbiu yao ya "wame tuchelewesha sana kufikia maendeleo"
 
Mkuu kilewela hiyo ni tisa, kumi ni pale chama tawala wanapotoa lawama kwa Cdm,

uzinduzi kote nchini hatujasikia sera. Na mikakati yao zaidi ya matusi, kejeli na vijembe kwa CDM, Mbowe na Lisu
Hadi inashangaza kuwa ni wao CCM wanaoongoza nchi ama ni CHADEMA 😄😃😀

Maana lawama toka CCM kwenda CHADEMA zimekuwa nyingi mno hadi mtu unaanza kuhisi labda Mbowe, Lissu na CHADEMA ndiyo wanaoendesha nchi kisirisiri.

Ali Hapi anasema CHADEMA walete sera za maendeleo. Sasa kauli kama hiyo si inaonesha CCM inasubiri sera za CHADEMA kuendeshea nchi?
 
Kweli kabisa, chadema kina miaka 30, kimepokea ruzuku bilioni karibu 300, halafu hakina ofisi yake ya kudumu, kinakodi.

Hapo mjini jengo la bilioni 5 ni kitu cha maana sana
Wewe ni kenge kabisa! Nioneshe ofisi za republican ya USA! Ccm walijenga ofisi zote wakati wa chama kimoja na wananchi tulichanga, labda wewe ni WA 2000!
 
CCM haina tofauti na hawa manabii, sogea tukuombee upate nyumba na gari ila mwisho anakukamua na sadaka jiukize kwa nini na yeye tusimwombee apate kazi ama biashara badala ya kutegemea sadaka.
 
Back
Top Bottom