Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Mkuu kilewela hiyo ni tisa, kumi ni pale chama tawala wanapotoa lawama kwa Cdm,
"chama tawala wanapotoa lawama kwa Cdm"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kilewela hiyo ni tisa, kumi ni pale chama tawala wanapotoa lawama kwa Cdm,
"chama tawala wanapotoa lawama kwa Cdm"
Wewe jamaa😀😃😃😆CCM haina tofauti na hawa manabii, sogea tukuombee upate nyumba na gari ila mwisho anakukamua na sadaka jiukize kwa nini na yeye tusimwombee apate kazi ama biashara badala ya kutegemea sadaka.
Mtanzania mwana TCCM kindakikandi huyu (chiembe) hapa anajibu hoja yako
Jirani zetu...
Wapo waliokuwa wajinga lakini sasa wanaanza kupata akili.
Wapo waliokuwa wamelala lakini taratibu wanazinduka kuamka.
Wapo waliokuwa wamefungwa minyororo wasije wakafurukuta.
Wapo waliokuwa wamefungwa midomo wasiweze kuongea.
Hayo yote kwa binadamu hai ni ya muda tu, hayadumu milele!
Walioelimika, wakajitambua huwa tayari kukaribisha mabadilko.
Sisi Watanganyika...(Watanzania bara?)
Hatuhitaji shule wala chuo, tuna CCM!
Hatuhitaji dini wala imani, tuna CCM!
Hatuhitaji uhuru wala haki, tuna CCM!
Hatuhitaji utu wala undugu, tuna CCM!
Hatuhitaji nchi wala utaifa, tuna CCM!
Hatuhitaji Katiba wala dira, tuna CCM!
Watanzania hatuwezi kuamshwa, kuelimishwa wala kupokea mabadiliko...hatuna uhai, tuna CCM!
Kuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).
Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.
CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.
Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.
Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?
Kuna mpumbavu hapa jirani yangu kaniazima pikipiki nikafikiri anasafari ya maana..CCM ni wapumbavu sn
Hongera mkuu usishiriki haramu kabisaKuna mpumbavu hapa jirani yangu kaniazima pikipiki nikafikiri anasafari ya maana..
Natoka nje naona anaipamba na mabendera ya ccm, huku mashangingi mawili yakiwa na madera ya kijani yakimsubiri ayapakize mishikaki.
Ajaamini macho yake, nimemnuanganya funguo na kumrudishia pesa yake ya mafuta SITAKI CHOMBO CHANGU KUSHIRIKI LAAANA.
Na tatizo jingine ni hili. Wapo watu wanaona eti hawashiriki kwenye uovu wa CCM wakati wao hushiriki kueneza hofu kuwa ukiipinga CCM utashughulikiwa.Hongera mkuu usishiriki haramu kabisa
Ndiyo ukweli huoni akina Kibao wameuliwa kama kuku sababu ya kuipinga CCMNa tatizo jingine ni hili. Wapo watu wanaona eti hawashiriki kwenye uovu wa CCM wakati wao hushiriki kueneza hofu kuwa ukiipinga CCM utashughulikiwa.
Hao CCM wataua nchi nzima kama tutawapinga?Ndiyo ukweli huoni akina Kibao wameuliwa kama kuku sababu ya kuipinga CCM
Hawezi nchi nzima lakini ndiyo kama hivo wanaendeleo na zoeziHao CCM wataua nchi nzima kama tutawapinga?
Yale masomo kuhusu kina Kinjekitile Ngwale na Mtwa Mkwawa huwa yafundishwa shuleni ili iwe nini?Hawezi nchi nzima lakini ndiyo kama hivo wanaendeleo na zoezi
Ni upumbavu ili tuzidiwe kuwa wajinga sijui Mwanamtepe empireYale masomo kuhusu kina Kinjekitile Ngwale na Mtwa Mkwawa huwa yafundishwa shuleni ili iwe nini?
Wanawajua watanganyika wako usingizini, mpaka waamke kwishaKuna jambo linaendelea kwenye Kampeni za Serikali za mitaa zinazofanywa na chama kinachoitwa chama Cha mapinduzi (CCM).
Jinsi wanavyoongea kwenye Kampeni hizo, ni kama vile hao watu wa CCM wamo kwenye chama kipya Cha siasa kilichosajiliwa hivi karibuni.
CCM wanashangaa matatizo waliyonayo watanganyika kama vile kulikuwa na chama kingine kinaongoza Serikali za mitaa na siyo CCM.
Miaka mitano iliyopita, CCM ilikuwa inaongoza 99.99 ya vitongoji, mitaa na vijiji Tanganyika. Lakini Leo viongozi wake wanatoa ahadi kama vile siyo chama chao kilichokuwa kinaongoza Serikali za mitaa Tanganyika.
Au CCM hii siyo ile iliyojitangaza kushinda mwaka 2019?