LGE2024 Hivi CCM ni chama kipya kilichosajiliwa mwezi huu?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
CCM haina tofauti na hawa manabii, sogea tukuombee upate nyumba na gari ila mwisho anakukamua na sadaka jiukize kwa nini na yeye tusimwombee apate kazi ama biashara badala ya kutegemea sadaka.
Wewe jamaa😀😃😃😆
 
 

Attachments

  • IMG_3824.jpeg
    50.6 KB · Views: 3
  • images (10).jpeg
    24.3 KB · Views: 4
  • 5781825-51775523b226d8414338068b2d50cfec.mp4
    3 MB
CCM ni wapumbavu sn
Kuna mpumbavu hapa jirani yangu kaniazima pikipiki nikafikiri anasafari ya maana..
Natoka nje naona anaipamba na mabendera ya ccm, huku mashangingi mawili yakiwa na madera ya kijani yakimsubiri ayapakize mishikaki.
Ajaamini macho yake, nimemnuanganya funguo na kumrudishia pesa yake ya mafuta SITAKI CHOMBO CHANGU KUSHIRIKI LAAANA.
 
Hongera mkuu usishiriki haramu kabisa
 
Wanawajua watanganyika wako usingizini, mpaka waamke kwisha
 
Yaani hiki chama kinachekesha Sana. Sasa wamemkamata Mbowe kafanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…