Hivi Chadema hakuna utaratibu wa Wanachama kuongea na Waandishi wa Habari? Mfano Lema aliongea Jana lakini Kesho ataongea tena🐼

Hivi Chadema hakuna utaratibu wa Wanachama kuongea na Waandishi wa Habari? Mfano Lema aliongea Jana lakini Kesho ataongea tena🐼

Nilidhani ni lazima MTU anayepitisha Press awe na KIBALI cha katibu mkuu Kwa sababu anakwenda kuongea mambo ya Chama tena " live"

Naomba Ufafanuzi

Nimekaa pale 🐼
Kwa hiyo shida yako ni kwanini ameongea jana na leo anaongea tena, au unataka kusema nini hasa.
 
Back
Top Bottom