Pre GE2025 Hivi CHADEMA zaidi ya kujitenga, kuandamana na kususia michakato ya kidemokrasia, inaweza kufanya nini cha maana zaidi?

Pre GE2025 Hivi CHADEMA zaidi ya kujitenga, kuandamana na kususia michakato ya kidemokrasia, inaweza kufanya nini cha maana zaidi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unataka wafanye nini kama chama ambacho hakina serikali?
Gentleman,
kwahiyo chama kikiwa hakina serikali ndio kijikite kwenye kujitenga na michakato ya kidemokrasia kama vile kususia na kugomea uchaguzi au maandamano, ndio kipate kuunda serikali right?šŸ’
 
Back
Top Bottom