Walimu wako cheap sana asee...huwezi kuta mtoto wa Llb,bcom au economics anabeba mimba kizembe,tena bila hata ndoa.
Kubeba mimba ni kawaida ila hapa chuo imekua kama fashion sasa,waalimu wanafunzi wanabeba mimba hapa chuo sio mchezo,nauliza hivii mkianza kazi watoto mtafundisha sa ngapi kama masomoni una toto mbili na hujagraduate,sijajua vyuo vingine.
Walimu wako cheap sana asee...huwezi kuta mtoto wa Llb,bcom au economics anabeba mimba kizembe,tena bila hata ndoa.