Hivi Cocacola Kwanza na Bonite Bottlers wameingia ubia, au Cocacola Kwanza ni moja ya kampuni ya IPP?

Hivi Cocacola Kwanza na Bonite Bottlers wameingia ubia, au Cocacola Kwanza ni moja ya kampuni ya IPP?

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Kwasababu leo nimeona magari ya Bonite yanasambaza juisi za minute maid, zilizotengenezwa kiwanda cha Cocacola kwanza kilichopo Dar, INA maana Cocacola Kwanza wanashindwa hata kununua magari madogo ya kusafirishia juisi zao huku moshi mjini?

Nahisi hizi kampuni mbili (Bonite na Cocacola Kwanza) zimeingia ubia, au labda Reginald Mengi ni shareholder mkubwa wa kampuni ya Cocacola Kwanza, sasa sijui kipi ni kipi.

Mwenye taarifa sahihi, tujuzane, majungu na kejeli sitaki.
 
Moja, Kiwanda cha Coca-Cola pale Mwenge ni eneo la Marehemu Mengi na wao wamepanga. Pili, IPP na Coca-Cola wameingia ubia kwa hapa Tanzania. Ndo maana magari yanasambaza pia maji ya Kilimanjaro. Ndo ninayoyajua, kama kuna wanaojua zaidi watanikosoa na kuongezea.
 
Moja, Kiwanda cha Coca-Cola pale Mwenge ni eneo la Marehemu Mengi na wao wamepanga. Pili, Ipp na Coca-Cola wameingia ubia kwa hapa Tanzania. Ndo maana magari yanasambaza pia maji ya Kilimanjaro. Ndo ninayoyajua, kama kuna wanaoju zaidi watanikosoa na kuongezea

Duuh bhasi mengi alikua anapokea approximately tsh million 100 kwa mwez kama kodi kutoka cocacola kwanza BigBro
 
Sio kweli dasani water ni brand ya cocacola worldwide ukienda kwenye kila nchi utayakuts
Dasani water sio products ya coca cola, bali ni product ya coca cola kwanza!!
Soma attachment hapa chini
Screenshot_20200914-161334.jpg
 
Kaa chini ujielimishe kuhusu haya makampuni

Cocacola kwanza ,bonite na nyanza

Minute maid ni brand ya cocacola ko, kwahiyo inapaswa kuzalishwa kwenye viwanda vyote vya cocacola

Maji ya Kilimanjaro pia yako chini ya coca cola, je nayo yanatengenezwa Nyanza na coca cola Kwanza?
 
Kwanza lazima utambue uhusiano uliopo bonite na Coca-Cola,

kwa uelewa wangu ni kuwa Mengi alikuwa na hisa nyingi kama sikosei Coca-Cola kwanza kabla ya Bonite kuanzishwa hivyo hiyo ikapelekea yeye kupewa nafasi ya kuanzisha kampuni ambayo itakuwa chini yake kwa makubaliano ya kuachia jengo mwenge while anakuwa anapata gawio kiasi furani
lakini Coca-Cola kwanza wanajitegemea na bonite pia wanajitegea kwa kugawana kanda za kusambaza products.

Coca-Cola kwanza anasambaza products zake mikoa ya pwani pamoja na kukihudumia kiwanda cha Coca-Cola mbaya while bonite anahudumia kanda ya kaskazini.

kunabaadhi ya products za Coca-Cola kwanza utazikuta kaskazini na zinasambazwa na depot za bonite kama hizo minute maid nk pia products za bonite mfano maji ya kilimanjaro ni utazikuta mikoa mingi tz
 
Kwanza lazima utambue uhusiano uliopo bonite na Coca-Cola,
kwa uelewa wangu ni kuwa Mengi alikuwa na hisa nyingi kama sikosei Coca-Cola kwanza kabla ya Bonite kuanzishwa hivyo hiyo ikapelekea yeye kupewa nafasi ya kuanzisha kampuni ambayo itakuwa chini yake kwa makubaliano ya kuachia jengo mwenge while anakuwa anapata gawio kiasi furani
lakini Coca-Cola kwanza wanajitegemea na bonite pia wanajitegea kwa kugawana kanda za kusambaza products
Coca-Cola kwanza anasambaza products zake mikoa ya pwani pamoja na kukihudumia kiwanda cha Coca-Cola mbaya while bonite anahudumia kanda ya kaskazini.
kunabaadhi ya products za Coca-Cola kwanza utazikuta kaskazini na zinasambazwa na depot za bonite kama hizo minute maid nk pia products za bonite mfano maji ya kilimanjaro ni utazikuta mikoa mingi tz
Minute maid niproduct za Coca cola hata Mwanza Nyanza bottling wanasambaza kanda ya ziwa...
 
Maji ya Kilimanjaro pia yako chini ya coca cola, je nayo yanatengenezwa Nyanza na coca cola Kwanza?
Maji ya kilimanjaro ni product ya bonite bottlers. Na si coca cola ambacho hamkielewu coca cola ni franchise kuna product lines ambazo zipo kwny brand ya coca cola kama dasani, munite maid juice na soda lakini si dhambi ukimiliki franshise kuwa na product line yako katika brand ya coca cola ndicho ambacho alikifanya mengi kwenye brand za kilimanjaro
 
Kwanza lazima utambue uhusiano uliopo bonite na Coca-Cola,
kwa uelewa wangu ni kuwa Mengi alikuwa na hisa nyingi kama sikosei Coca-Cola kwanza kabla ya Bonite kuanzishwa hivyo hiyo ikapelekea yeye kupewa nafasi ya kuanzisha kampuni ambayo itakuwa chini yake kwa makubaliano ya kuachia jengo mwenge while anakuwa anapata gawio kiasi furani
lakini Coca-Cola kwanza wanajitegemea na bonite pia wanajitegea kwa kugawana kanda za kusambaza products
Coca-Cola kwanza anasambaza products zake mikoa ya pwani pamoja na kukihudumia kiwanda cha Coca-Cola mbaya while bonite anahudumia kanda ya kaskazini.
kunabaadhi ya products za Coca-Cola kwanza utazikuta kaskazini na zinasambazwa na depot za bonite kama hizo minute maid nk pia products za bonite mfano maji ya kilimanjaro ni utazikuta mikoa mingi tz
Hapana chief mengi hana hisa coca cola kwanza na ameeleza kwny kitabu chake cha i can,i will i must namna alivyoanza umiliki wa viwanda hasa bonite bottles kiufupi ukimiliki franchise yoyote duniani una aquaire full ownership ya biashara ila kasoro tradesmark ya hiyo biashara. Kwahio unaweza ukawa na product line ya bithaa zako mwnyw pamoja na zile za trademark kwa sabb ww una full ownership.
 
Maji ya kilimanjaro ni product ya bonite bottlers. Na si coca cola ambacho hamkielewu coca cola ni franchise kuna product lines ambazo zipo kwny brand ya coca cola kama dasani, munite maid juice na soda lakini si dhambi ukimiliki franshise kuwa na product line yako katika brand ya coca cola ndicho ambacho alikifanya mengi kwenye brand za kilimanjaro

So maji ya Kilimanjaro ni brand ya Coca cola au?
 
Ni brand ya bonite bottles chief. Soma kitabu cha mengi i can, i must, i will ameelezea umiliki wa bishara zake zote na namna alivyozianzisha

Bonite haikuingia mkataba wa ku-supply hayo maji ya Kilimanjaro kwenye soko la kimataifa, haswa kwenye kombe la dunia ambako Coca Cola ndio mdhamini mkuu. Huko maji ya Kilimanjaro yanauzika saana. Ndio maana nauliza hayo maji yalienda huko kama brand ya Bonite au Coca cola?
 
Bonite haikuingia mkataba wa ku-supply hayo maji ya Kilimanjaro kwenye soko la kimataifa, haswa kwenye kombe la dunia ambako Coca Cola ndio mdhamini mkuu. Huko maji ya Kilimanjaro yanauzika saana. Ndio maana nauliza hayo maji yalienda huko kama brand ya Bonite au Coca cola?
Hicho sikijui kuhusu mikataba ninachokijua mengi ni mmiliki asilimia 100 wa maji ya kilimanjaro chini ya kampuni yake ya bonite bottlers kama alivyo state kwny kitabu chake ambacho hukielewi chief ni kwamba bonite bottlers inafanya bottling ya vinywaji vya coca cola ukanda wa kaskazini na pia vinywaji vyake binafsi kama kilimanjaro.

Mengi kufungua bonite bottlers amestate alikuwa anataka full ownership ndo maana aliopt coca cola badala ya fahari bottlers( pepsi) aliokuwa wakwanza kuongea nao kuhusu makubaliano
 
Back
Top Bottom