Hivi Couple za humu JF ziliishia wapi?

waonekana tu maana ukiwa home huwa unatulia na pc yako utadhani umewekewa kitimoto mbele hahaaaaaaaaaaaaaaaa kumbe una jambo lako kama wale kijani walivyokuwa na jambo lao msimu huu wa olimpinki
Hahah...

Mimi ndio msajili wa kapo nyuma ya kibodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…