#COVID19 Hivi Covid-19 bado ipo Tanzania?

#COVID19 Hivi Covid-19 bado ipo Tanzania?

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Nina flue, napiga chafya, nahohoa, naahirisha mwili unauma na kuchoka pia sina hamu yakula ila sina home.

Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma.

Naomba jukwaa linishauri
 
Nina flue, napiga chafya, nahohoa, naahirisha mwili unauma na kuchoka pia sina hamu yakula ila sina home.

Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma.

Naomba jukwaa linishauri
Mwezi wa tatu chugga Kuna mtu alikufa kwa Covid-19
 
Nina flue, napiga chafya, nahohoa, naahirisha mwili unauma na kuchoka pia sina hamu yakula ila sina home.

Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma.

Naomba jukwaa linishauri
Kwan Azuma ndo doz ya kovid
 
Back
Top Bottom