Mbona issue dogo sana kwako wewe mwenye ujuzi wa Internet, nenda youtube videos kibao za namna ya kufanya massage na scrubs. Kwani unafikiri hao madada wa saloon walienda shule? Hakuna mwanamke asiye jua namna ya kumpaka mtoto mafuta usoni . The same techniques hereSasa kama hajui unamsaidiaje na wewe si mwalimu?
Wajibu gani??????][/B]Wako kazini na wanatimiza wajibu wao
Ahaaa ahaaa ahaaaa:lol::lol:Kabuuum!
Nendeni pale survey, near mlimani city.
Mshikaji wangu wife wake alinunua kila kitu kinachotumika saloon kuanzia mashine na vikorombwezo vingine akaambiwa kwenda kushikwashikwa saloon no more:lol::lol:The finest, nakumbuka kuna dada mmoja aliweka mipaka ya mumewe kuhudumiwa na hasa wakati wa kuoshwa na kuscrubiwa
Kapuchi kama una mume nakushauri uende naye siku moja natumaini utapata majibu ya maswali yako:lol:kwani huwa wanafanyanini hapo barber shop?je ni vibaya waime zetu kwenda? kwanini zisihudumiwe na kina baba/wanaume
Ahaaaa ahaaa ahaaaa howard you just made my day:lol::lol:kuna moja iko pale baada ya kupita africa sana kwa mbele kama unakwenda bamaga kushoto wale mademu ni machangu tu nilikwenda kunyoa pale wakati najiandaa kwenda kwenye graduation UDSM ni noma wanawake wanajiuza hakuna ubishi hizo huduma ni mtego.
na nyingine iko victoria pale karibu na petrol station kwenye kale kanjia kanaelekea mwananyamala kuna demu mule anaitwa ........(acha nihifadhi jina lake) yeye alinishika dick kabisa baada ya kumaliza kunifanyia scrubs na kupipaka black, akasema naitaka hiyo, nikacheka nikachomoka nikampa 10,000 ya huduma sikuomba chenji nikatoka nduki fasta sijawahi kurudi tena nilipachukia.
kuna moja iko pale baada ya kupita africa sana kwa mbele kama unakwenda bamaga kushoto wale mademu ni machangu tu nilikwenda kunyoa pale wakati najiandaa kwenda kwenye graduation UDSM ni noma wanawake wanajiuza hakuna ubishi hizo huduma ni mtego.
na nyingine iko victoria pale karibu na petrol station kwenye kale kanjia kanaelekea mwananyamala kuna demu mule anaitwa ........(acha nihifadhi jina lake) yeye alinishika dick kabisa baada ya kumaliza kunifanyia scrubs na kupipaka black, akasema naitaka hiyo, nikacheka nikachomoka nikampa 10,000 ya huduma sikuomba chenji nikatoka nduki fasta sijawahi kurudi tena nilipachukia.
ukiwa na lengo la kupata kahaba saloon utampata tu. ukiwa na ganzi kwamba lengo ni kusafishwa nyele uso ukimaliza kazi yako unaondoka. Jua kuwa kuna wanaume wao wakiona kiumbe katipa amevaa baibui gubigubi wao wanachanganyikiwa, si lazima ashikwe au aone kimini.
kuna moja iko pale baada ya kupita africa sana kwa mbele kama unakwenda bamaga kushoto wale mademu ni machangu tu nilikwenda kunyoa pale wakati najiandaa kwenda kwenye graduation UDSM ni noma wanawake wanajiuza hakuna ubishi hizo huduma ni mtego.
na nyingine iko victoria pale karibu na petrol station kwenye kale kanjia kanaelekea mwananyamala kuna demu mule anaitwa ........(acha nihifadhi jina lake) yeye alinishika dick kabisa baada ya kumaliza kunifanyia scrubs na kupipaka black, akasema naitaka hiyo, nikacheka nikachomoka nikampa 10,000 ya huduma sikuomba chenji nikatoka nduki fasta sijawahi kurudi tena nilipachukia.
Na saloon nyingine nasikia zina vyumba kabisa, mnamalizana kabisa humohumo...naaam wanapiga bussiness hapo kwa papo ukiongea vizuri unaachiwa mzigo:lol:
Hilo ndio la muhimu hasawao wameandika ni salon ya kunyoa nywele, hayo mengine ni viambatanisho tu, la muhimu sana hapo ni kuwa so specific! umeenda kunyoa basi nyoa ishia, kama unataka na scrub wanaweza kukufanyia bila kukutomasatomasa maeneo yasiyohusika, mengine mnayakaribisha wenyewe, umelazwa kwenye mtindi unapumka tu na macho umeyafumba unasikilizia joto la matiti, unashikwa hata kusiko husika unatulia kimyaa kama katoto chini ya kwapa ya mamake halafu baada ya hapo unakuja hapa kutuzingua eti ni zaidi ya customer care! na mwisho ukachukua namba ya simu ya huyo dada, huoni kama ulikuwa na zaidi ya kunyoa nywele? of course ukionyesha interest ya kwenda beyond that utapewa tu huduma husika na juu ya ukimwi ni suala la wewe mwenyewe ukiamua kutupa condom kando utaukwaa tu hata kama huendi salon! AIDS is real take care!
Zikihudumiwa na akina baba zitakosa wateja.kwani huwa wanafanyanini hapo barber shop?je ni vibaya waime zetu kwenda? kwanini zisihudumiwe na kina baba/wanaume
Hii kali aisee.....kuna moja iko pale baada ya kupita africa sana kwa mbele kama unakwenda bamaga kushoto wale mademu ni machangu tu nilikwenda kunyoa pale wakati najiandaa kwenda kwenye graduation UDSM ni noma wanawake wanajiuza hakuna ubishi hizo huduma ni mtego.
na nyingine iko victoria pale karibu na petrol station kwenye kale kanjia kanaelekea mwananyamala kuna demu mule anaitwa ........(acha nihifadhi jina lake) yeye alinishika dick kabisa baada ya kumaliza kunifanyia scrubs na kupipaka black, akasema naitaka hiyo, nikacheka nikachomoka nikampa 10,000 ya huduma sikuomba chenji nikatoka nduki fasta sijawahi kurudi tena nilipachukia.
Mzee, juzi nilienda kwenye barber shop moja ya maeneo ya sinza kwenye majira ya saa kumi za jioni hivi. Mzee nikapokelewa na kadada kamoja kamevaa tight mbaya, kakanitabasamia alafu kakanifumbia jicho moja"Kakanikonyeza'', baada ya kunyolewa kenyewe ndio kakanichangamkia kuwa ni mteja wake wa siku nyingi. Mzee, kabla sijaanza kupakwa zile chemical zao kakashika kichwa, shingo, kidevu kimapenzi hasa'romantic touches'. Baadae wakati wa kuscrub, kakawa kanachezea masikioni yangu kwa muda mrefu. Wakati wa kuoshwa ndo kabisa, kichwa hakikutolewa kwenye mtindi wake. Hii naona ni zaidi ya customer care