Kabuuum!
Nendeni pale survey, near mlimani city.
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.
kuna moja iko pale baada ya kupita africa sana kwa mbele kama unakwenda bamaga kushoto wale mademu ni machangu tu nilikwenda kunyoa pale wakati najiandaa kwenda kwenye graduation UDSM ni noma wanawake wanajiuza hakuna ubishi hizo huduma ni mtego.
na nyingine iko victoria pale karibu na petrol station kwenye kale kanjia kanaelekea mwananyamala kuna demu mule anaitwa ........(acha nihifadhi jina lake) yeye alinishika dick kabisa baada ya kumaliza kunifanyia scrubs na kupipaka black, akasema naitaka hiyo, nikacheka nikachomoka nikampa 10,000 ya huduma sikuomba chenji nikatoka nduki fasta sijawahi kurudi tena nilipachukia.
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.
Mnaambiwa mtulie myolewe nyie mnawaza mengine lol!wanawategaje?
Kwani wewe mdada yoyote akikushika unastuka stuka tu.
Umeona eheee barbershop baada ya barbershop kama ilivyo bar na grocerySinza jamani imekuwa fashion
Siku za mwisho elimu itaongezeka, wanaona elimu ya kungojea usiku ufike ndiyo wajitokeze, haitoshi wameamua kula sahani moja na vinyozi, nasema nirahisi sn kurubuniwa na kuuva ukimwi kirahisi sn, kwani wamekuwa kaama kinyoleo kinacho nyoa watu wengi kwa siku moja, yatupasa kuwa macho na adui huyu anaepenyeza ukimwi kirahisi wakati huna habari kuwa unakokwenda kunamtego wakupasa uuruke ukimwi ni janga la dunia tujihadhari sn.
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.
Ha ha ha Mkuu yalinikuta hayo. Tangu siku hiyo siwezi kuongoza na wife kwenda hukoMkuu kuna jamaa alienda na wife wake mbona palichimbika kuona husband wake anashikwashikwa
Kuna mdada wa salon moja hivi.....hadi leo nikiingia kwenye hiyo salon hanimaindi kwa sababu sikutii mpango wake. Anawashawishi na wenzie wanichukie. Lakini kwa sababu huwa naenda kunyoa tu na sikai zaidi ya masaa 2 huwa hainishtui, nina muda mdogo sana wa kukaaa nao so hata wasiponimaindi kwa kitu ambacho ni sahihi kwangu hainiumizi kichwa.
Kwa nini huhami tu hiyo saluni na kwenda nyingine??
Hutuvua mashati na fulana na kutupapasa vifua vyetu wanaume na pia hudiriki kutuuliza kama tunasikia raha lol!!mi nilikuwa nikipapaswa nikavumilia ,nikaona raha,then fahamu iliporudi nikaruka juu na kusema please im married afu sio service niloijia hapa!niache kama huwezi kuni scrub!wale hufanya janja ile ili ku attract Tip!ila mi sipendi mambo yale kwani huchochea mambo flan!wamefanyaje? tupe picha halisi kwanza
Hutuvua mashati na fulana na kutupapasa vifua vyetu wanaume na pia hudiriki kutuuliza kama tunasikia raha lol!!mi nilikuwa nikipapaswa nikavumilia ,nikaona raha,then fahamu iliporudi nikaruka juu na kusema please im married afu sio service niloijia hapa!niache kama huwezi kuni scrub!wale hufanya janja ile ili ku attract Tip!ila mi sipendi mambo yale kwani huchochea mambo flan!
Afu unajua wale mabinti hufanya hivyo kwa kila mwananume anaeingia mule saloon,na hujitahidi hata wafanikishe taka contact zako ili waku beep ile time wanakuwa free!nashauri tuwaelimishe kwani asilimia kubwa hawajabahatika kupata elimu.
Mnaambiwa mtulie myolewe nyie mnawaza mengine lol!
...kama kina kaka wa kizaire (kikongo) walivyo mahodari kusuka dada zetu, acha kina dada nao wazidi ujasiriamali kwenye kutukosha vipara vyetu bana. Binafsi hutamani nywele ziote haraka nikapate huduma zao, "mteja ni mfalme!"
Dou! kuanzia next week nanunua scrub na machine nzuri kioo kama cha salon na kiti kila kitu nafanya mwenyewe isiwe tabu