Hivi dada zetu wa kwenye barber shop wapo kwa ajili ya nini hasa?

Kabuuum!
Nendeni pale survey, near mlimani city.

Ahhaaaaaaaaaaaaa, Ahaaaaaaaaaaa, Ahahahhaaaa. Kumbe unapajua pale!
Waliyosema wachangiaji wa post za nyuma ya hii yooote sahihi. Nyongeza ni kuwa wakati wanakufanyia huo utukutu huwa wanakuangalia kwenye kioo kimahaba.
 
Kuna mdada wa salon moja hivi.....hadi leo nikiingia kwenye hiyo salon hanimaindi kwa sababu sikutii mpango wake. Anawashawishi na wenzie wanichukie. Lakini kwa sababu huwa naenda kunyoa tu na sikai zaidi ya masaa 2 huwa hainishtui, nina muda mdogo sana wa kukaaa nao so hata wasiponimaindi kwa kitu ambacho ni sahihi kwangu hainiumizi kichwa.
 
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.

wanawategaje?
Kwani wewe mdada yoyote akikushika unastuka stuka tu.
 
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.

wapo kwa ajili ya kazi wewe ndio huna msimamo
 

Mungu wangu! yaani anatamka waziwazi! eeee hawa wadada ni hatari sana
 
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.

mimi nilisha acha kufanya scrub kwa sababu hiyohiyo
 
WANANGU MSIENDE, HUO NI UKAHABA WA KARNE YA 21. WIZI MTUPU. NA WEWE KWA NINI UKUBALI KUSHIKWA SHIKWA NA KIDADA KI-KAHABA? ULIPENDA.

Watoto wangu ee, mimi mama yenu ee sina nguvu tena ee za kumuua simba ee ............tuliimba; aliuwa baba eeeeeee aliuwa mama eeeeee aliuwa watu .............. haya kimbieni!!!!

HAWA NI SIMBA WAKALI, WAMEPELEKA WATU WENGI KABURINI na pia wamekusanya karibu kila Mtanzania kwenda Kaburini. UKIMWI UNAUWA.
 

umeingia chaka kijana ..usiseme sku za mwisho sema wewe ndio umejua haya mambo leo kwa sababu manchi ay watu haya mambo yalikuwepo kuanzia miaka ya 1920s
 
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.

...kama kina kaka wa kizaire (kikongo) walivyo mahodari kusuka dada zetu, acha kina dada nao wazidi ujasiriamali kwenye kutukosha vipara vyetu bana. Binafsi hutamani nywele ziote haraka nikapate huduma zao, "mteja ni mfalme!"
 
Mkuu kuna jamaa alienda na wife wake mbona palichimbika kuona husband wake anashikwashikwa
Ha ha ha Mkuu yalinikuta hayo. Tangu siku hiyo siwezi kuongoza na wife kwenda huko
 

Kwa nini huhami tu hiyo saluni na kwenda nyingine??
 
wamefanyaje? tupe picha halisi kwanza
Hutuvua mashati na fulana na kutupapasa vifua vyetu wanaume na pia hudiriki kutuuliza kama tunasikia raha lol!!mi nilikuwa nikipapaswa nikavumilia ,nikaona raha,then fahamu iliporudi nikaruka juu na kusema please im married afu sio service niloijia hapa!niache kama huwezi kuni scrub!wale hufanya janja ile ili ku attract Tip!ila mi sipendi mambo yale kwani huchochea mambo flan!
Afu unajua wale mabinti hufanya hivyo kwa kila mwananume anaeingia mule saloon,na hujitahidi hata wafanikishe taka contact zako ili waku beep ile time wanakuwa free!nashauri tuwaelimishe kwani asilimia kubwa hawajabahatika kupata elimu.
 

Dou! kuanzia next week nanunua scrub na machine nzuri kioo kama cha salon na kiti kila kitu nafanya mwenyewe isiwe tabu
 
...kama kina kaka wa kizaire (kikongo) walivyo mahodari kusuka dada zetu, acha kina dada nao wazidi ujasiriamali kwenye kutukosha vipara vyetu bana. Binafsi hutamani nywele ziote haraka nikapate huduma zao, "mteja ni mfalme!"

Aaaah babuuuu!
 
Reactions: Mbu
Dou! kuanzia next week nanunua scrub na machine nzuri kioo kama cha salon na kiti kila kitu nafanya mwenyewe isiwe tabu

Utaweza dada yangu? atakwambia unakosea tu ili aende kuwekewa maziwa usoni wakati ananawishwa, yaaani mie nilitaka kumla msichana vichwa pale sinza mori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…