Usijali siku ingine tutaenda wote,mambo ya abiria chunga mzigo wako lol!nimeambiwa unashtukaga na wewe. Siku nyingine ukistuka nakupiga konzi.
Mbona salon zingine tayari zinazo ?Huko ni ukahaba tu mi nadhani itafika wakati watatenga vyumba vya kumaliziana kabisa!!!
Dou! kuanzia next week nanunua scrub na machine nzuri kioo kama cha salon na kiti kila kitu nafanya mwenyewe isiwe tabu
Ha ha ha Sinza nomaUtaweza dada yangu? atakwambia unakosea tu ili aende kuwekewa maziwa usoni wakati ananawishwa, yaaani mie nilitaka kumla msichana vichwa pale sinza mori
Naomba urafiki na wewe nimeshindwa nimejaribu sana si unajua ugeni tena dada. by the way nunua hvo vitu kama unaweza usiibiwe mumeo
haaah haaah haaah dah hii mwana ni kawaida tu as u knw tena biashara matangazo!Mzee, juzi nilienda kwenye barber shop moja ya maeneo ya sinza kwenye majira ya saa kumi za jioni hivi. Mzee nikapokelewa na kadada kamoja kamevaa tight mbaya, kakanitabasamia alafu kakanifumbia jicho moja"Kakanikonyeza'', baada ya kunyolewa kenyewe ndio kakanichangamkia kuwa ni mteja wake wa siku nyingi. Mzee, kabla sijaanza kupakwa zile chemical zao kakashika kichwa, shingo, kidevu kimapenzi hasa'romantic touches'. Baadae wakati wa kuscrub, kakawa kanachezea masikioni yangu kwa muda mrefu. Wakati wa kuoshwa ndo kabisa, kichwa hakikutolewa kwenye mtindi wake. Hii naona ni zaidi ya customer care
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.
Utaweza dada yangu? atakwambia unakosea tu ili aende kuwekewa maziwa usoni wakati ananawishwa, yaaani mie nilitaka kumla msichana vichwa pale sinza mori
Mkuu kwani umeambiwa kunyoa ni 20,000 au 30,000 ndio usiende saloon, kila mtu ana hulka yake kama umeenda kunyoa utanyoa na kuondoka kama umeedna kunyoa na mambo mengine utayapata vile vile huko huko ni wanawake wangapi wa kitanzania wanajua kushika mashine ya nywele na kuitumia let alone kumwambia jinsi gani unataka akunyoe.
Watanzania tunasema maisha magumu lakini hii ya kunyoa nywele .. .... .... hivi ni kweli lazima uende kwenye saloon? Kwa nini kama umeoa mkeo asifanye hiyo kazi? Nilifikiri tunajaribu kufanya ajira za JK na mabillioni yake. Au tunajaribu kueneza virusi.
U get what u want!! Mi naenda kwenye hizo hizo Salon za masharobaro na hao madada wao wakiwepo atafanya huduma jinsi nitakavyo mimi hakuna kuchekeana wala kuleteana mambo ya mapenzi.Next time achana na mambo ya kukonyezana we Mwambie nahitaji scrub na baada ya hapo unadai sh ngapi siku ingine ukirudi hakuletei ishu za kidwanzi