Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Dar es salaam ni kitovu cha utapeli asee sidhani kama kuna mtu aliyeishi muda mrefu dar na hajawahi kutapeliwa
Ukijikuta una huruma ama msamaria nwema dar ujue upo karibu na kutapeliwa, Rafiki yangu mmoja alitapeliwa kisa tu kumpeleka mtu akabadilishe pesa zake za kigeni (dollar) alafu wagawane, jamaa alitapeliwa mpaka viatu alirudi nyumbani peku tena kwa mguu kutoka kariakoo mpaka mbezi kimara
Ukijikuta una huruma ama msamaria nwema dar ujue upo karibu na kutapeliwa, Rafiki yangu mmoja alitapeliwa kisa tu kumpeleka mtu akabadilishe pesa zake za kigeni (dollar) alafu wagawane, jamaa alitapeliwa mpaka viatu alirudi nyumbani peku tena kwa mguu kutoka kariakoo mpaka mbezi kimara