Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Watu wanatafuta umaarufu wa kijinga tu,Dar kuna nini lakini mbona wanaume wanaukimbia uanaume wao sana sana wakiwa Dar?
mbona nasikia kuna mzunguko mkubwa sana wa Hela, sasa inakuwaje tena wasihangaike kutafuta?
View attachment 2619765View attachment 2619766View attachment 2619767
Mbona mi nazila hazinisumbui mkuuuChips mayai na Fanta ya bariiiiidi
Chipsi zinasingiziwa mengi! Chips nagonga daily na binti zangu, na moto napeleka dak 15-20.Chips mayai na Fanta ya bariiiiidi
Ndo hapo sasa mkuu ni nadharia tu hizoChipsi zinasingiziwa mengi! Chips nagonga daily na binti zangu, na moto napeleka dak 15-20.
Kabisa kabisa yaani chips nitengeneze nyumbani mafuta safi kachumbari mixer parachichi na matango eti inikate moto Kwa kipi sasa!Ndo hapo sasa mkuu ni nadharia tu hizo
Tunda umelisingiziajuic ya embe
sikupingiMimi nafikiri kinacho wagharimu vijana wengi wa sasa ni uvivu, tamaa na kuiga. Na hii sio kwa Dar pekeyake.
Yule jamaa wa BSS madam ritta atakuwa analia mpaka kulia akiona hiiKwani ni nani huyo wakuu?
Naunga mkono hoja...Dar kuna nini lakini mbona wanaume wanaukimbia uanaume wao sana sana wakiwa Dar?
mbona nasikia kuna mzunguko mkubwa sana wa Hela, sasa inakuwaje tena wasihangaike kutafuta?
View attachment 2619765View attachment 2619766View attachment 2619767