Hivi Dar kuna tatizo gani?

Wanaume wa mikoani buaanaa....Mpaka wanaume wa Dar wawakaze ndio mtawaheshumu

...huwa inakuwaga hivyo sababu huwa wakija Dar wanarukia treni kwa mbele ,wanajifanya wajuaji ...mwisho wanaishia kuolewa
 
Sasa we ulitegemea Mbwa wako umlishe chipsi mayai, sausage na soda halafu usiku abweke.?
Mbwa wa huku bara anakula Dona na nyama ya polini na akiugua homa anatafuna mizizi mziki wake lazima mtu aombe po.!
Wataanzia wapi kwa mfano....
 
Ndo mjini na fasheni life is change kwani shida ipo wapi?
mjini chuo kikuuu
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hapana aiseeh haitokaa itokee
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe nmekosea, apa Kuna watu wengi huwez kusema [emoji12] [emoji12]

[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Population tu ndio chanzo cha hayo yote,population hii ingekuwa nangwanda huko ungekuta sarakasi zote hizi ziko huko
 
Hapa namba 3. Wanaokula mashoga wanatoka mikoani au
 
Nimeskia et Dar wanyime Vifurushi vyote, ila uwape cha JazaUjazwe
 
Mhhhhhhh ss ivo vimbao mbona n vidogo sana vinatofauti gan na vibamia dunia hii inamambo
 
Dar ndio Tanzania,ukiona hvyo jiulize Tanzania kuna nn ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…