Alivyotusua kwenye Muziki kila WImbo anataka apite mule mule.Jamaaa melody ya muziki inamtesaa sanaa...Yani anataka aflow kwenye beat ilee ilee kila nyimboo
Yani jamaa amekariri muziki flow zake shida sanaa...!!Alivyotusua kwenye Muziki kila WImbo anataka apite mule mule.
Kuna yule mwingine wa ikote na yeye kapotea et
Nyimbo zake zote ziko vile vile, hata ile muziki me sikujua watu waliupendea nini (sikuupenda) na style yake ni ile ile, ukichunguza flow yake, mashairi yake yaliyobeba maneno fulani fulani ya mtaani (mara nyingi yana utoto fulani hivi au niseme maneno yanayopendwa na watoto) naona yuko vile vile ni msanii mzuri ila sio msanii mkali (average tu don't expect much from him)Tofauti na ile sikati tamaa,nishike mkono,weekend,na mziki nyingune zote anazotoa siku hizi sijui achia njia,relax ni utumbo mtupu anatakiwa atulie ajipange upya
acha kufananisha iphone na ujinga ujinga weweSikutofautishi na yule anaesema simu ya iphone inapendew nini
4myself darassa mikwaju yakeambayo sjawahi choka kuskliza ni weka ngoma ft lameck ditto sikatitamaaa zote mbili og&remix love is blind ft mwasiti nachanda chema ft mariooo zngne nyng huwa Kama nzur bc znakifu saaana
Tofauti na ile sikati tamaa,nishike mkono,weekend,na mziki nyingune zote anazotoa siku hizi sijui achia njia,relax ni utumbo mtupu anatakiwa atulie ajipange upya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole! ahsante
Shikamoo! Marahaba.