Hivi Diamond anamkomoa Nani?

Mwache awakaze tu wakati hakuwa na hela alikuwa anashibia kwa macho na ninyi mnamwambia atafute hela sasa kazipata mnamsimanga tena,Mimi nazisaka sasa hivi nimizipata tu nakula huku nikizibua na mitalo tu
Daaah! Mkuu mpk Mitalo!
 
Kwani pesa si zake?? mwache tuu ale jasho lake!.. Mwanaume atakula kwa jasho lake!..
 
Badala ya kutafuta senti, umeng'ang'ana tu mambo ya insta.
Mwenzako anapanga aanze show za nchi gani saizi
 
Nyota imeondoka zake milele walahi
 
Sasa wewe inakuuma nini? is he your sibling? don't you have recalcitrant kids in your family..? just deal with your umpteen family problems, let him stand solo
 
Watanzania wengi ni wapvmbavu kama mleta uzi. Yaani unaamini kabisa kila mtu anajua unachojua wewe kuhusu ishu uliyoileta hapa ya diamond. Nyambaff sana. Weka maelezo vizuri sio kila mtu ni mdau wa insta anajua yanayotokea huko.
 
Sasa wewe inakuuma nini? is he your sibling? don't you have recalcitrant kids in your family..? just deal with your umpteen family problems, let him stand solo
Want him ti stand rhythm!
 
Kashavurugwa anastress za kuachwa bado hazijaondoka muache atafute amani ya moyo kuachwa kubaya.
 
Kisa kasaidia basi ruksa kufanya ufuska!Wakifanya wasanii wengine,ndani!
 
Sijui jinsia ya mleta uzi ila nimwambie kama mwanaume najua sio rahis kuwa diamond, Hela,umaarufu na umri mdogo vitu vyote vitatu vipo kwa pamoja hakuna msanii kwenye history ya mziko wetu amefikia mafanikio ya Diamond,watu wengi wanamnyooshea kidole ila wangekuwa kwenye position aliyopo Dai labda hata wake zetu wasingekuwa salama, mademu wanajileta tena vyombo haswa ni khanisi tu ndio ataweza kushinda hivyo vishawishi ni rahisi kusema sababu hauna hiyo status....dai anakila kitu cha kumfanya afanye anayoyafanya lakin mkiangalia mapungufu yake mseme na mazuri yake.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…