Hivi Diamond anaweza kukaa mwaka bila kutoa wimbo harafu asisahaulike kwenye ulimwengu wa muziki?

Sidhani umewahi kuwasikia Michael Jackson,Whitney Houston hata Marijani Rajabu
 
eti ule wimbo alioshirikishwa diamond ambao unapigwa sana kwenye events, anaimba " nasema kwanza zima,........kisha nirudishe mba mba mba" unaitwaje? na ni wa nani?
 
Asipotoa wimbo atakua na skendo na wanawake ili aendeleee kuwa midomon kwa watu
 
Ana Diamond karanga ukipita tu barabarani huko unaiona unaanzaje sasa kumsahau, jina tu unaliona kila njia
 
Kwani kazi yake hapa duniani ni nini?...hivi umaskini na roho mbaya ni lini vitatengana!?
 
Wewe unaweza kukaa siku 7 bila kula.. Dai ile ni kazi so sio rahs
 
Haya wale wenye uthubutu wamwambie athubutu!. Alafu aone motto..
 
Hio ni kazi anayoendeshea maisha yake, sasa hataishi bila kufanya kazi.

Imeandikwa Hasiyefanya kazi na hasile.
 
Mauzo makubwa yapi? Ni vizuri ukitupa ufafanuzi wa kina
 
Kwani anafanya mziki kushindana au anafanya mziki aingize pesa?
Kama kutoa wimbo kila mwezi kunamwingizia pesa kuliko kutoa wimbo mmoja mwaka mzima atoe tu kila mwezi ikiwezekana hata kila week azivune tu wakati wake bado hajaisha maana muda wake ukipita hata akiimba nini hakuna atakaye sikiliza.
Keep doing what you ought to do platnumZ
 
Best comment.....mond anafanya mziki biashara hafanyi mziki sifa kama wengne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…