Hivi Diamond anazungumza na sisi au na Harmonize?’

Nyani haoni kundule mbona yy hakukumbuka na alivyofanyiwa na marehemu Ruge Mutahab
Kama ulikua hujui nakujuza chanzo cha Diamond kugombana na Ruge ni kwasababu ya Harmonize..Ruge alitaka kumtumia Harmonize kwa maslahi kidogo Mond akagoma ndo bifu lilianzia hapo
 
Kama ulikua hujui nakujuza chanzo cha Diamond kugombana na Ruge ni kwasababu ya Harmonize..Ruge alitaka kumtumia Harmonize kwa maslahi kidogo Mond akagoma ndo bifu lilianzia hapo
naomba source ya hiyo habari yako mkuu?
 
Yule bwana wa kariakooo vp mbona mna taka kumshusha wanadamu hamna jema..




[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ali sikika kiba100 aki nong'ona back stage
 
Mbona yy alileta jeuri kwa ruge mtu ambaye ana mchango mkubwa katika mafanikio yke
 
Wasafi wanajichanganya sana, walisema Harmonize ameondoka kwa kuaga na uongozi umempa baraka zote huko aendako lkn sasa hivi wanaongea vitu kama vile Konde ameekimbia.
Konde amezingua , amewaacha washkaj na makaratasi akatokomea kusikojulikana , wanachoumiza
kichwa sa hv ni kuwa waende kisheria au niaje, jamaa kakubali gharama Ila kutoa mpunga ndo miyeyusho, na sa hv kila analofanya ni nje ya WCB... Kiufupi katokomea kinyemela indirect
 
Honestly bado siamini kama huyu Dogo ata prosper zaidi ya sasa.. Ni kama ameshafika ukomo wake wa umaarufu.

Diamond halikadhalika.. Na sasa tusubiri wwngine wang'ae.
 
Honestly bado siamini kama huyu Dogo ata prosper zaidi ya sasa.. Ni kama ameshafika ukomo wake wa umaarufu.

Diamond halikadhalika.. Na sasa tusubiri wwngine wang'ae.
Diamond amefikia ukomo wa umaarufu? We jamaa unaota si bure Hadi sasa hiv diamond ni balozi wa makampuni 9 na amekuwa nominees kwenye tuzo nyingi kubwa za mwaka Huu ikiwemo ile ya marekani inaitwa people choice award, ngoma zake zote alizotoa mwaka Huu time hit Sana,kumbuka pia mwezi huu ameweka record ya kujaza ukumbi mkubwa wa ujerumani unaitwa columbius lakini mwaka Huu amepata show 50 za ndani na nje ya nchi,mwezi uliopita tu kafanya show ya Uganda kwa kiingilio kikubwa Cha laki moja kama kiingilio Cha chini na vip ni mil 1 lakini kajaza na wengine wameishia nje kwa kukosa nafasi kwenye huo ukumbi mkubwa wa Uganda mzee baba unata kuniambia hiv ndio kufa ki mziki?we jamaa unamasiala
 
Ama kweli £"%$^ ya kale hayanuki maana huyu kijana amesahau aliyomfanyia Bob Junior? Watasha wana kamsemo 'What goes around, comes around'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…