Hivi Diamond ni lini utaacha ulaghai wa kununua tuzo za huko nje?

Hivi Diamond ni lini utaacha ulaghai wa kununua tuzo za huko nje?

Wakuu habari!

Nipo kigamboni hapa na jamaa mmoja wa karibu sana na Rais wa Wasafi, Sio siri yale aliyonieleza nibaki tu mdomo wazi.

Kumbe siku hizi kuna tuzo za kununua kulingana na category anayotaka msanii, pia bei hutofautiana kutokana na status ya category anayotaka msanii kushinda.

My take: sasa unasema vip mziki wetu unakua wakati unatumia gharama nyingi kununua hizo tuzo? Kumbe ndiomana unakuta wasanii wakali na wenye nyimbo kali kama Wizkid hawana tuzo nyingi kumbe hawataki kujiingiza katika uharamia huo.

Nakumbuka hata Wizkid alipowahi kuhojiwa na soundcity television kuwa ni kwanini nyimbo zake ni kubwa lakini awards anazopata ni chache au hapati kabisa, ndipo wizkid akajibu " I can not involve my music in such stupidity business"

Pia tunapata funzo kuwa, mbali na ukali wa Ojuelgba ya wizkid lakini haina tuzo hata 3 ila huyu jamaa yetu ile Taarab yake na Khadija kopa unakuta imeingiza tuzo hata 7 kwa mwezi mmoja na nusu, kumbe nyuma ya pazia kuna kabiashara.

Siasa mbaya sana! Inaingia mpaka huku yani madudu ya mvi ndio ya dangote
 
Wakuu habari!

Nipo kigamboni hapa na jamaa mmoja wa karibu sana na Rais wa Wasafi, Sio siri yale aliyonieleza nibaki tu mdomo wazi.

Kumbe siku hizi kuna tuzo za kununua kulingana na category anayotaka msanii, pia bei hutofautiana kutokana na status ya category anayotaka msanii kushinda.

My take: sasa unasema vip mziki wetu unakua wakati unatumia gharama nyingi kununua hizo tuzo? Kumbe ndiomana unakuta wasanii wakali na wenye nyimbo kali kama Wizkid hawana tuzo nyingi kumbe hawataki kujiingiza katika uharamia huo.

Nakumbuka hata Wizkid alipowahi kuhojiwa na soundcity television kuwa ni kwanini nyimbo zake ni kubwa lakini awards anazopata ni chache au hapati kabisa, ndipo wizkid akajibu " I can not involve my music in such stupidity business"

Pia tunapata funzo kuwa, mbali na ukali wa Ojuelgba ya wizkid lakini haina tuzo hata 3 ila huyu jamaa yetu ile Taarab yake na Khadija kopa unakuta imeingiza tuzo hata 7 kwa mwezi mmoja na nusu, kumbe nyuma ya pazia kuna kabiashara.

Namgojea nione kabati la kibakuli lina tuzo ngapi
 

Attachments

  • 1442780814179.jpg
    1442780814179.jpg
    95.9 KB · Views: 154
Wakuu habari!

Nipo kigamboni hapa na jamaa mmoja wa karibu sana na Rais wa Wasafi, Sio siri yale aliyonieleza nibaki tu mdomo wazi.

Kumbe siku hizi kuna tuzo za kununua kulingana na category anayotaka msanii, pia bei hutofautiana kutokana na status ya category anayotaka msanii kushinda.

My take: sasa unasema vip mziki wetu unakua wakati unatumia gharama nyingi kununua hizo tuzo? Kumbe ndiomana unakuta wasanii wakali na wenye nyimbo kali kama Wizkid hawana tuzo nyingi kumbe hawataki kujiingiza katika uharamia huo.

Nakumbuka hata Wizkid alipowahi kuhojiwa na soundcity television kuwa ni kwanini nyimbo zake ni kubwa lakini awards anazopata ni chache au hapati kabisa, ndipo wizkid akajibu " I can not involve my music in such stupidity business"

Pia tunapata funzo kuwa, mbali na ukali wa Ojuelgba ya wizkid lakini haina tuzo hata 3 ila huyu jamaa yetu ile Taarab yake na Khadija kopa unakuta imeingiza tuzo hata 7 kwa mwezi mmoja na nusu, kumbe nyuma ya pazia kuna kabiashara.

Mimi nakushauri hiyo roho yako ya korosho itakurudisha nyuma tu kutafuta mabaya kuhusu Diamond, ningekuwa wewe ningeemiza hizi Nguvu za kichawi kumsaidia Ali Kiba kufanya kazi
Watu wana roho za kishetani
Ukiulizwa Diamond alikukosea nini, hunajibu Bali ni wivu yaani mtu kama wewe unalalaje usiku au unasali kweli?
 
Back
Top Bottom