Hivi "digital odometer reading ya gari" nayo yaweza kuchezewa?

Hivi "digital odometer reading ya gari" nayo yaweza kuchezewa?

mats_

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
399
Reaction score
299
Habari Wadau..
Moja kwa moja niende kwenye mada...Mimi nimepanga kununua gari either toka japan au apa apa bongo ila iwe used..Najua mnafahamu sifa moja ya gari pindi unaponunua ni mileage (km) gari ilizotembea adi muda ule unapoenda ikagua gari tayari kwa manunuzi.
Kitu kinachonipa hofu watu wengi wananiambia kua nisije nikaamini sana mileage inayosoma katika kioo kwa maana kuna mchezo sikuizi kwa wanaouza ayo magari kuzichezea odometer na kurudisha kilomita zinazosoma nyuma!.
Kwa mfano gari inaeza kua imetembea kilomita laki moja ila muuzaji akarudisha nyuma ikaonekana imetembea kilomita elfu 60

Sasa naomba kujuzwa zaidi kwa wanaofahamu vizuri magari, Hivi digital odometer nazo zinaweza kuchezewa mchezo mchafu ama ni zile analog za kizamani tu ndo zinaweza kuchezewa, na kama digital odometer inaeza kuchezewa kuna dalili gani za kunijulisha kama itakua imefanyiwa mchezo mchafu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2008ae68865885cf2d3324fdad25808c.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vitu ni changamoto kwelikweli,dawa ni kutafuta 0KM .ila Sasa kwa vile kwanja wake ni mrefu basi haina budi kupambana na used tuu..we kuwa na imani tuu kwamba ukiagiza utapata ambayo hawaja temper na odometer. Halafu wenzetu bado wana kauaminifu kwenye biashara shida tumezoea kwetu kwamba kila kitu ni magumashi tuu..na mimi hili lilinifanya nikasema sitanunulia gari nyumbani lakini watu wengi wananunulia nyumbani na gari zinapiga kazi vzri tuu so kuwa na imani tuu bro...
Habari Wadau..
Moja kwa moja niende kwenye mada...Mimi nimepanga kununua gari either toka japan au apa apa bongo ila iwe used..Najua mnafahamu sifa moja ya gari pindi unaponunua ni mileage (km) gari ilizotembea adi muda ule unapoenda ikagua gari tayari kwa manunuzi.
Kitu kinachonipa hofu watu wengi wananiambia kua nisije nikaamini sana mileage inayosoma katika kioo kwa maana kuna mchezo sikuizi kwa wanaouza ayo magari kuzichezea odometer na kurudisha kilomita zinazosoma nyuma!.
Kwa mfano gari inaeza kua imetembea kilomita laki moja ila muuzaji akarudisha nyuma ikaonekana imetembea kilomita elfu 60

Sasa naomba kujuzwa zaidi kwa wanaofahamu vizuri magari, Hivi digital odometer nazo zinaweza kuchezewa mchezo mchafu ama ni zile analog za kizamani tu ndo zinaweza kuchezewa, na kama digital odometer inaeza kuchezewa kuna dalili gani za kunijulisha kama itakua imefanyiwa mchezo mchafu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vitu ni changamoto kwelikweli,dawa ni kutafuta 0KM .ila Sasa kwa vile kwanja wake ni mrefu basi haina budi kupambana na used tuu..we kuwa na imani tuu kwamba ukiagiza utapata ambayo hawaja temper na odometer. Halafu wenzetu bado wana kauaminifu kwenye biashara shida tumezoea kwetu kwamba kila kitu ni magumashi tuu..na mimi hili lilinifanya nikasema sitanunulia gari nyumbani lakini watu wengi wananunulia nyumbani na gari zinapiga kazi vzri tuu so kuwa na imani tuu bro...
shukrani sana...maana kununua gari sio kama kiwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hivyo mkuu fumba macho tuu..jilipue
ukifumba macho mkuu mda mwingine kuna kuumizwa parefu...ni vyema tukazijua dalili za odometer kua tempered with...
unaeza pata mwanga wa kuchunguza vtu gan haviko sahihi

kuna mwana mmoja kanambia ni vyema pia kuomba doc ya service ili ku estimate kilomita gari ilizotembea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
digital odometer inaeza kuchezewa tena ni rahisi tu sema kinacho fanyika apo nikwamba inakurazimu uamue kufuta namba moja yani kama ilikuwa inasoma 150000 utoe moja ya kwanza ibaki 50000 au utoe 50000 ibaki 100000 na ndivyo inavyo fanyika kwa apa bongo na iyo michezo wanafanya sana apa bongo kwa japani ukiagiza ili usipigwe lipia inspection ili ili waweke sticker zenye kuonyesha millage na certficate pia watakupa ni dola 300
ukitaka kujua iliyochezewa tafuta fundi aifungue utakuta pini zimekwatwa ndani au zimekunjwa zisisome
 
ukifumba macho mkuu mda mwingine kuna kuumizwa parefu...ni vyema tukazijua dalili za odometer kua tempered with...
unaeza pata mwanga wa kuchunguza vtu gan haviko sahihi

kuna mwana mmoja kanambia ni vyema pia kuomba doc ya service ili ku estimate kilomita gari ilizotembea

Sent using Jamii Forums mobile app
Ya hilo la document ni muhimu kama gari inayo ila kama haina unafanyaje sasa??mana wengine wanaoneshaga kwamba gari ina ile maintainence record ila zingine hazina...
 
Back
Top Bottom