Hivi "digital odometer reading ya gari" nayo yaweza kuchezewa?

Hivi "digital odometer reading ya gari" nayo yaweza kuchezewa?

digital odometer inaeza kuchezewa tena ni rahisi tu sema kinacho fanyika apo nikwamba inakurazimu uamue kufuta namba moja yani kama ilikuwa inasoma 150000 utoe moja ya kwanza ibaki 50000 au utoe 50000 ibaki 100000 na ndivyo inavyo fanyika kwa apa bongo na iyo michezo wanafanya sana apa bongo kwa japani ukiagiza ili usipigwe lipia inspection ili ili waweke sticker zenye kuonyesha millage na certficate pia watakupa ni dola 300
ukitaka kujua iliyochezewa tafuta fundi aifungue utakuta pini zimekwatwa ndani au zimekunjwa zisisome
...
kumbe ndo kinachofanyika...hiyo inspection fee lazima ulipe na inafanyikia Japan wanakupa certicate ambayo utaipeleka TBS ila vinginevyo watakusumbua sana kama haitakuwa na hyo cheti..
 
...
kumbe ndo kinachofanyika...hiyo inspection fee lazima ulipe na inafanyikia Japan wanakupa certicate ambayo utaipeleka TBS ila vinginevyo watakusumbua sana kama haitakuwa na hyo cheti..
Inafanyikia japani na ukipata document unaipeleka tbs wana hakiki kama ndio ukiingiza gari ambayo aina iyo cert utapigwa faini ya 30% ya CIF
 
Yes, inawezekana, na ndio maana tunashauri , nunua gari direct from japan kuliko kununua showrooms,
 
Hivi vitu ni changamoto kwelikweli,dawa ni kutafuta 0KM .ila Sasa kwa vile kwanja wake ni mrefu basi haina budi kupambana na used tuu..we kuwa na imani tuu kwamba ukiagiza utapata ambayo hawaja temper na odometer. Halafu wenzetu bado wana kauaminifu kwenye biashara shida tumezoea kwetu kwamba kila kitu ni magumashi tuu..na mimi hili lilinifanya nikasema sitanunulia gari nyumbani lakini watu wengi wananunulia nyumbani na gari zinapiga kazi vzri tuu so kuwa na imani tuu bro...
Maana ya adjustment inamaana hata 0km unaweza kuwekewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari tizama uzima wa mashibe, unaweza kuta low mileage ikawa jini na ukapata high mileage ukastarehe... ni ushuhulikiaji wa mashine tu
 
Back
Top Bottom