sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Nimekuwa nikiuona wimbo wa mwanadada maarufu nchini Dokii, ambao kamwimbia Obama. Kama jina la wimbo lilivyo, na mashairi yake, anasema "Obama welcome Tanzania.. Obama welcome Africa" inakuwaje hapo?! Na TBC1 wanarusha tu bila kusanifu.. Duuh! Kaz kwel kwel.